Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 278
Naomba kufahamu dada zetu huko kitchen party huwa mnafundishwa nini?
Maana nilisikia huwa mnafundishwa maadili. Namna ya kumtunza mumeo na watoto wako.
Mapishi ya vyakula vizuri kwa mumeo na watoto. Usafi. Namna ya kumridhisha mumeo kimapenzi
nk nk. . . Mbona bado matokeo hayaonekani baada ya hayo? Si nasikia huwa mnafundishwa jinsi ya
kuwadhibiti waume wasitoke nje? Mbona bado wanatoka? Mbona kupika kwa ninyi wakisasa
ambao ndo mnaenda sana huko bado issue? Mbona malezi ndo yanaporomoka? Maadili je? Mbona
wanaume wanalalamika hawafiki? Hivi huwa wanafundishwa nini? bado upo umuhimu??
Maana nilisikia huwa mnafundishwa maadili. Namna ya kumtunza mumeo na watoto wako.
Mapishi ya vyakula vizuri kwa mumeo na watoto. Usafi. Namna ya kumridhisha mumeo kimapenzi
nk nk. . . Mbona bado matokeo hayaonekani baada ya hayo? Si nasikia huwa mnafundishwa jinsi ya
kuwadhibiti waume wasitoke nje? Mbona bado wanatoka? Mbona kupika kwa ninyi wakisasa
ambao ndo mnaenda sana huko bado issue? Mbona malezi ndo yanaporomoka? Maadili je? Mbona
wanaume wanalalamika hawafiki? Hivi huwa wanafundishwa nini? bado upo umuhimu??