Huko Marekani ni rahisi sana kuwatimua watumishi wa umma kazini!

Huko Marekani ni rahisi sana kuwatimua watumishi wa umma kazini!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Musk, DOGE yake na Trump wanatimua kazi wafanyakazi wa umma mpaka wanasahau wanapitiliza inabidi wawatafute kurudi kazini tena🤣!
20250220_230533.jpg
20250220_230359.jpg

20250220_230255.jpg
 
Kwa hiyo we unawajua vizuri wafanyakazi wa marekani kuliko Trump ambae yeye ndio muajiri mkuu mpaka umfunguliae uzi humu,,, yani kwa vile bando la bule kwa shemeji yako tangu afunge WIFI basi ukikurupuka unafungua uzi tu,,,, chuki zako kwa wakongoman, wapalestina, warusi hazitokufikisha kokote we mbwa ya kitusi.
 
The Labour laws demand that the employer has the right to hire and fire the employees depending on the situation that he/she deems favourable to his business interests.

The employer is not entitled or bound to retain the employees when he/she thinks that by so doing his/her business interests will be at jeopardy.
 
Back
Top Bottom