Huko Songea kuna maajabu gani mpaka Wasomali wakimbilie huko?

Hukumbuki walivyokuwa wanateka meli kule Indian Ocean na kulazimisha walipwe mamilioni ili waziachie. Pia wengi waliingia kama Wakimbizi kule North America na Europe na baada ya kuzijua systems za kuwalipa wakimbizi ili waweze kujikimu wakawa wanacheza nazo na wengine kulipwa hadi mara nne ya malipo ya mtu mmoja.
South Africa Wasomali wametoboa wengi, sifahamu wanapataje mitaji lakini wengi wana biashara zinazohitaji mtaji wa US$ 5,000 kuendelea.
 
Kwenda Canada, US au UK sometimes sio suala la umbali bali ni suala la urahisi wa raia wa nchi hiyo kwenda nchi nyingine. South Africa ni kama kijisehemu ka nchi hizo.
Kwa hiyo RSA ni sehemu ya Canada,UK na USA?Hawaendi huko Kwa visa?
 
Kwa hiyo RSA ni sehemu ya Canada,UK na USA?Hawaendi huko Kwa visa?
watanzania wengi hawana exposure kwa wasomali hiyo ndo njia rahisi mno na fursa ya kutobolea ughaibuni wakiweza pita Tanzania hatimaye malawi or mozambique then South Africa wanakua wameisha luka kiunzi
 
South Africa Wasomali wametoboa wengi, sifahamu wanapataje mitaji lakini wengi wana biashara zinazohitaji mtaji wa US$ 5,000 kuendelea.
Uharamia, moja ya chanzo cha mapato yao. Baharini huko hawakawii kuteka meli zinazopita kwenye bahari yao.
 
Uharamia, moja ya chanzo cha mapato yao. Baharini huko hawakawii kuteka meli zinazopita kwenye bahari yao.
Unakijua chanzo cha hao wasomali kuanza kuteka MELI zinazo pita kwenye Uganda wao kwanza?
 
Hauku isikia vizuri iyo habari , huuo dereva alipewa dili akawafikishe makambako then hapo wazee wa ndege wana dandia ndinga nyingine kuelekea pmpaka tunduma kuingia zambia ready to take off to J burg
 
Kama huna ujuzi na mambo haya kaa kimya tu dude. Niwadanganye wajinga wenzangu kwa maslahi gani. Elewa tu kwamba ni rahisi mno kutoka South Africa kwenda first world countries kuliko ilivyo kwa nchi yoyote ya Africa-labda Mauritius.
Unamaanisha ni rahisi kupata visa za nchi hizo, ukiwa na PASSPORT ya S.A.. au ni urahisi wa safari/kuzamia kinyemela?
 
watanzania wengi hawana exposure kwa wasomali hiyo ndo njia rahisi mno na fursa ya kutobolea ughaibuni wakiweza pita Tanzania hatimaye malawi or mozambique then South Africa wanakua wameisha kiunzi
Fafanua zaidi tuelewe... kuna vitu kama huajelezea hivi
 
Hivi songea kuna njia za pori kwa pori hadi Msumbiji?
 
Ruvuma ni mkoa ulio mpakani , wasomali wanakimbilia msumbiji na malawi kupitia mbamba bay port , ambayo siku hizi njia ni lami hadi ziwani..
Logic ni kwamba safari ya wasomali bado ni kwenda south africa , ila wameaamua tu kubadilisha boarder za kutokea, badala Tunduma na kasumulu ya kyela. Sasa wanatokea Ruvuma .
 
Msomali Hana time na wewe.yeye anapita zake tu Njia .ana ugomvi na wakenya.
Kwa hyo popote umuonapo msomali hapa tanzania kuwa na amani
HAO hauwezi kuwakuta hata na bastola
Tusiwachekee hawa magaidi, popote pale walipo hapa Tanzania inabidi wakamatwe tu na kurudishwa makwao.
 
South Africa Wasomali wametoboa wengi, sifahamu wanapataje mitaji lakini wengi wana biashara zinazohitaji mtaji wa US$ 5,000 kuendelea.
Kule wana kijiji kabisa kwa ajili ya mishe zao , na serikali ya south ni kama inawatambua kabisa maana imewapa haki zao zote kama raia wa kijiji.
Katika kuhangaika na maisha. Niliwahi kupata breakdown mbaya sana ya gari mida ya usiku maeneo ya kijiji hicho .Mtu wa kwanza kuja kuniuliza shida yangu alikuwa ni msomali aliyekulia Tandika , baadaye nilikirimiwa na wanakijiji ambao wengi walikua fluent kwenye kiswahili ,asubuhi wakanitafutia spea na kufunga safari yangu ikaendelea
 
Kama huna ujuzi na mambo haya kaa kimya tu dude. Niwadanganye wajinga wenzangu kwa maslahi gani. Elewa tu kwamba ni rahisi mno kutoka South Africa kwenda first world countries kuliko ilivyo kwa nchi yoyote ya Africa-labda Mauritius.
Nimeanza kusafiri 1990
 
Uliona wapi kwenye miti kukawa na wajenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…