Huko Songea kuna maajabu gani mpaka Wasomali wakimbilie huko?

Huko Songea kuna maajabu gani mpaka Wasomali wakimbilie huko?

Nimeanza kusafiri 1990
Si kweli. Narudia tena si kweli. Labda ulianza kusafiri kutoka mikoani kwenda Dar. Na kama ulianza kusafiri kimataifa basi hautashangaa boda la Sauzi kwenda mamtoni. Hiyo miaka ya 90 ndio ilikuwa miaka ya mwisho mwisho ya kuzamia bondeni, then kidogo unajifunza kizulu na kisha unazamia meli kupitia bandari ya Durban na kuingia Ugiriki huku kukiwa na msemo maarufu "Tanzania no naga". Acha kabisa .
 
Habari wanabodi!

Katika taarifa ya habari ya leo wakati natazama hapa ITV kuna gari kubwa imepata ajari kule Handeni watu wa tatu wamefariki.

Polisi wamefanikiwa kuwakamata wasomalia kama 15 waliokuwa wakisafiri wanaelekea Songea kwenye makaa ya mawe, sasa hapa ndio najiuliza huko Songea kuna nini cha ajabu mpaka watu wavuke mipaka yote waende Songea?

Kama kuna fursa nyingi tuambiane, haiwezekani watu wavuke mipaka yote waje mpaka Bongo wakati wenyewe wabongo hatujui kama kumeila huko.

Kama kuna mgodi umetema tuambiane ,tuwahi na moko zetu huko bombi nyumbi.
Simple math with logical answers.

Tumewekeza ulinzi mkubwa mpaka wa Mtwara kuelekea Msumbiji.

Wasomali wanakimbilia Songea na hao hao wanakutwa Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji wakifanya ugaidi....


Kamati ya Ulinzi na Usalana ya Songea kazi yake ni kukagua miradi ya serikali na jukumu la usalama wameachiwa polisi.....


Jumlisha ukipata jibu toa
 
Somalia na Ethropua hakuna rasilamali Zinazovuma hapa Afrika hivyo hawana cha kupoteza hivyo vijana wa kitanzania kuiga kijana msomali/muhabeshi ni kujipotezea muda.
Tanzania kuna migodi bubu mingi sana ya kujichimbia tu na kutoka maisha tena bika kodi.
Tanzania kuna maziwa makubwa 3 yanayotoa samaki muda wote ie Tanganyika Viktoria na Rukwa.
Tanzania ina mabonde oevu ya kulima mwaka mzima ambayo ni Rufiji,Kilombero, Ruaha/Usangu, Nyasa kagera, Kilimanjaro,Malagarasi nk
Tanzania kuna ardhi yenye rutuba isiohitaji mbolea mikoa ya Kagera,Kigoma,Songea,Mbeya,Tanga,Morogoro, Pwani, Lindi mtwara Njombe,Iringa Katavi ,Rukwa,Songwe, Kilimanjaro nk Jichagulie mkoa wa kwenda ukaanzishe kilimo.
Tanzania kuna mbuga za wanyama za kutosha.
Tanzania ina mipaka ya kutosha ya kukuwezesha kufanya biashara na nchi jirani.
Tanzania ina Amani tele na watu wakarimu wenye upendo kila mkoa.
Halafu umuige msomali kutapatapa kwenye maroli huku ukiacha rasilimali za kutosha kukufanya uwe tajiri .
Rejea shairi linaitwa Fikiri:
"Fikiri mimi jamani nakufa hapa kwa nini, chakula kingi nyumba, ..nyumbani ashiba..." .
Ulaya kuna rasolimsli gani za kumtajirisha mkimbizi kutoka Afrika, je waweza nitajia watu maarufu waliotajirika kwa kuwa wakimbizi huko ulaya .
Una akili sana nimependa ideas yako
 
South Africa Wasomali wametoboa wengi, sifahamu wanapataje mitaji lakini wengi wana biashara zinazohitaji mtaji wa US$ 5,000 kuendelea.
Wooo unamaanisha kuwa na biashara yenye mtaji kuanzia Us 5,000 South Africa tayari ushatoka?
 
Usikute ndio hao wanawadanganya baadhi ya watu wa afrika.mashariki na.msumbiji huko carp ode lga do kuwa mungu wao yupo.maporini wanampigania?
 
Hukumbuki walivyokuwa wanateka meli kule Indian Ocean na kulazimisha walipwe mamilioni ili waziachie. Pia wengi waliingia kama Wakimbizi kule North America na Europe na baada ya kuzijua systems za kuwalipa wakimbizi ili waweze kujikimu wakawa wanacheza nazo na wengine kulipwa hadi mara nne ya malipo ya mtu mmoja.
Wazungu wameshawashtukia ni ngumu sana kulipwa mara nne,kwa ujinga wao ndio unaleta shida wengine kiaminika
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni kweli lakini wengi wameshatajirika na kununua nyumba, magari na wengine kuanzisha biashara.
Wazungu wameshawashtukia ni ngumu sana kulipwa mara nne,kwa ujinga wao ndio unaleta shida wengine kiaminika
 
Ukisha fika South Africa unawezaje kwenda Canada?
Wakiwa south africa ,wasomali wanapewa haki kadhaa za ukimbizi , ikiwepo pia haki ya kupata refugee passport ambayo ina uwezo wa kuwapeleka nchi kadhaa za ulaya na america ,
Ndio maana safari yao ngumu kabisa ni kutoka somalia kwenda south africa , wakifika south , wanafanyiwa mipango ya refugeee documents then refugee passport ndo wanaondoka ulaya mazima
 
Habari wanabodi!

Katika taarifa ya habari ya leo wakati natazama hapa ITV kuna gari kubwa imepata ajari kule Handeni watu wa tatu wamefariki.

Polisi wamefanikiwa kuwakamata wasomalia kama 15 waliokuwa wakisafiri wanaelekea Songea kwenye makaa ya mawe, sasa hapa ndio najiuliza huko Songea kuna nini cha ajabu mpaka watu wavuke mipaka yote waende Songea?

Kama kuna fursa nyingi tuambiane, haiwezekani watu wavuke mipaka yote waje mpaka Bongo wakati wenyewe wabongo hatujui kama kumeila huko.

Kama kuna mgodi umetema tuambiane ,tuwahi na moko zetu huko bombi nyumbi.
Kuna utajiri mkubwa huko wazawa wameukalia wanakufa fukara
 
Hao jamaa huwa hawatabiriki.... Bora wakikamatwa tu warudishwe makwao. Huwezi mtambua mtu mwema kwa kumtazama machoni.

Ugaidi hauna taifa kuna watanzania wapo jela kenya huko kwa hizo inshu za ugaidi wa mwaka 2014
 
Back
Top Bottom