Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Si kweli. Narudia tena si kweli. Labda ulianza kusafiri kutoka mikoani kwenda Dar. Na kama ulianza kusafiri kimataifa basi hautashangaa boda la Sauzi kwenda mamtoni. Hiyo miaka ya 90 ndio ilikuwa miaka ya mwisho mwisho ya kuzamia bondeni, then kidogo unajifunza kizulu na kisha unazamia meli kupitia bandari ya Durban na kuingia Ugiriki huku kukiwa na msemo maarufu "Tanzania no naga". Acha kabisa .Nimeanza kusafiri 1990
Simple math with logical answers.Habari wanabodi!
Katika taarifa ya habari ya leo wakati natazama hapa ITV kuna gari kubwa imepata ajari kule Handeni watu wa tatu wamefariki.
Polisi wamefanikiwa kuwakamata wasomalia kama 15 waliokuwa wakisafiri wanaelekea Songea kwenye makaa ya mawe, sasa hapa ndio najiuliza huko Songea kuna nini cha ajabu mpaka watu wavuke mipaka yote waende Songea?
Kama kuna fursa nyingi tuambiane, haiwezekani watu wavuke mipaka yote waje mpaka Bongo wakati wenyewe wabongo hatujui kama kumeila huko.
Kama kuna mgodi umetema tuambiane ,tuwahi na moko zetu huko bombi nyumbi.
Ukisema kumeila watakuelewa wasukuma tu.
NdioHivi songea kuna njia za pori kwa pori hadi Msumbiji?
Una akili sana nimependa ideas yakoSomalia na Ethropua hakuna rasilamali Zinazovuma hapa Afrika hivyo hawana cha kupoteza hivyo vijana wa kitanzania kuiga kijana msomali/muhabeshi ni kujipotezea muda.
Tanzania kuna migodi bubu mingi sana ya kujichimbia tu na kutoka maisha tena bika kodi.
Tanzania kuna maziwa makubwa 3 yanayotoa samaki muda wote ie Tanganyika Viktoria na Rukwa.
Tanzania ina mabonde oevu ya kulima mwaka mzima ambayo ni Rufiji,Kilombero, Ruaha/Usangu, Nyasa kagera, Kilimanjaro,Malagarasi nk
Tanzania kuna ardhi yenye rutuba isiohitaji mbolea mikoa ya Kagera,Kigoma,Songea,Mbeya,Tanga,Morogoro, Pwani, Lindi mtwara Njombe,Iringa Katavi ,Rukwa,Songwe, Kilimanjaro nk Jichagulie mkoa wa kwenda ukaanzishe kilimo.
Tanzania kuna mbuga za wanyama za kutosha.
Tanzania ina mipaka ya kutosha ya kukuwezesha kufanya biashara na nchi jirani.
Tanzania ina Amani tele na watu wakarimu wenye upendo kila mkoa.
Halafu umuige msomali kutapatapa kwenye maroli huku ukiacha rasilimali za kutosha kukufanya uwe tajiri .
Rejea shairi linaitwa Fikiri:
"Fikiri mimi jamani nakufa hapa kwa nini, chakula kingi nyumba, ..nyumbani ashiba..." .
Ulaya kuna rasolimsli gani za kumtajirisha mkimbizi kutoka Afrika, je waweza nitajia watu maarufu waliotajirika kwa kuwa wakimbizi huko ulaya .
Wooo unamaanisha kuwa na biashara yenye mtaji kuanzia Us 5,000 South Africa tayari ushatoka?South Africa Wasomali wametoboa wengi, sifahamu wanapataje mitaji lakini wengi wana biashara zinazohitaji mtaji wa US$ 5,000 kuendelea.
Ukiwa na mtaji wa kiasi hicho unapata vibali halali vya kuishi, huishi kama digi digi na utafutaji unakua na faida.Wooo unamaanisha kuwa na biashara yenye mtaji kuanzia Us 5,000 South Africa tayari ushatoka?
Umeona wapi mtu mwenye akili timamu anajiua ili akapate mabikra 72 mbinguni?Ugaidi wao nini
Basi wanaenda kuongeza nguvu kwa Alshabab walioko hukoNdio
Huyo jamaa ni mshamba anafikiri nirahisi kuingia canadaUkisha fika South Africa unawezaje kwenda Canada?
Wazungu wameshawashtukia ni ngumu sana kulipwa mara nne,kwa ujinga wao ndio unaleta shida wengine kiaminikaHukumbuki walivyokuwa wanateka meli kule Indian Ocean na kulazimisha walipwe mamilioni ili waziachie. Pia wengi waliingia kama Wakimbizi kule North America na Europe na baada ya kuzijua systems za kuwalipa wakimbizi ili waweze kujikimu wakawa wanacheza nazo na wengine kulipwa hadi mara nne ya malipo ya mtu mmoja.
Wazungu wameshawashtukia ni ngumu sana kulipwa mara nne,kwa ujinga wao ndio unaleta shida wengine kiaminika
Wakiwa south africa ,wasomali wanapewa haki kadhaa za ukimbizi , ikiwepo pia haki ya kupata refugee passport ambayo ina uwezo wa kuwapeleka nchi kadhaa za ulaya na america ,Ukisha fika South Africa unawezaje kwenda Canada?
Naomba ushahidi au ushuhuda kutoka kwa yeyote yule aliyejiua kwa lengo akapate mabikra 72 mbinguni.Umeona wapi mtu mwenye akili timamu anajiua ili akapate mabikra 72 mbinguni?
Kuna utajiri mkubwa huko wazawa wameukalia wanakufa fukaraHabari wanabodi!
Katika taarifa ya habari ya leo wakati natazama hapa ITV kuna gari kubwa imepata ajari kule Handeni watu wa tatu wamefariki.
Polisi wamefanikiwa kuwakamata wasomalia kama 15 waliokuwa wakisafiri wanaelekea Songea kwenye makaa ya mawe, sasa hapa ndio najiuliza huko Songea kuna nini cha ajabu mpaka watu wavuke mipaka yote waende Songea?
Kama kuna fursa nyingi tuambiane, haiwezekani watu wavuke mipaka yote waje mpaka Bongo wakati wenyewe wabongo hatujui kama kumeila huko.
Kama kuna mgodi umetema tuambiane ,tuwahi na moko zetu huko bombi nyumbi.
Utajiri upi huu kiongozi???Kuna utajiri mkubwa huko wazawa wameukalia wanakufa fukara
Wasomali huingia kama wakimbizi na wanakubaliwa. Hizo nchi wamejaa pamoja na SwedenUnafikiri kwenda canada na usa ni sawa na kwenda Mtwara wadanganye wajinga wenzio
Hao jamaa huwa hawatabiriki.... Bora wakikamatwa tu warudishwe makwao. Huwezi mtambua mtu mwema kwa kumtazama machoni.