Huko tuendako kuna tufani linakuja! Hii siasa ya CCM Mpya ya akina Bashiru Ali na Polepole ni dalili tu!

Huko tuendako kuna tufani linakuja! Hii siasa ya CCM Mpya ya akina Bashiru Ali na Polepole ni dalili tu!

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
1,770
Reaction score
5,423
Kwa mtu makini na mwenye uelewa mpana wa siasa au wale wana CCM makini na wenye upeo mkubwa hawawezi kukubali kuwa huku kuhamia kwa wapinzani kwa maana ya Wabunge na Madiwani ni ishara ya kukubalika kwa CCM au kuboreka kwa sera zake, la hasha!

Kuna kitu hapa kinasukwa kwa ustadi na " gharama" kubwa sana! Wachumia tumbo waliokuwa wanajifanya wapinzani huku wakiwa hawajui chochote wanachosimamia zaidi ya matumbo yao leo wanaunga juhudi!

Kesho na kesho kutwa tusishangae hawa ndo watatumika kulala barabarani wakishinikiza Bwana Mkubwa aongezewe kipindi cha tatu ili amalizie miradi yake ya SGR, Stiglers Gorge, Kununua Ndege n.k.

Tumeona tayari hofu ya the former Statesman Big Ben kwa submission aliyofanya recently.

Ngoja tuone mwisho wake ! huku wana CCM wengine wakiwa hawana hofu yoyote,wapowapo tu kama misukule!
 
Yaani ni sawa sawa na nyani au mbwa umwekee kioo ajione huko mwenyewe
Wee fikiria mwenyewe nini kitatokea
 
Hawezi kuongeza ahudumu mihula mitatu. Ila asanteni kwa kujua kuwa ataongoza na muhula wa pili.
 
Maoni yako ,inawezekana ikawa ndivyo sivyo,baada ya wananchi kung'amua ya kwamba hakuna upinzani nchini kuna wachumia tumbo tu.

Ni Sacco's za familia flani zinazotumia kichaka cha siasa kujinufaisha. Wameona bora warudi sehemu yenye uhakika wa kufanya siasa bila bugzha.
Fumadilu Kalimanzila,
 
Fumadilu Kalimanzila,
Yaani sijui huu ujasiri wa undumilakuwili huwa mnautoa wapi! Kwa Mbowe kung'ang'ania madaraka hadi siku atakapomfuata Muumba wake sawa. Lakini kwa Jiwe ambaye hata kipindi kimoja hajaisha mnatoa mapovu eti asipewe kipindi cha tatu. Wajinga kabisa!!!
 
Swadakta!,wajinga sio kidogo
Y
Yaani sijui huu ujasiri wa undumilakuwili huwa mnautoa wapi! Kwa Mbowe kung'ang'ania madaraka hadi siku atakapomfuata Muumba wake sawa. Lakini kwa Jiwe ambaye hata kipindi kimoja hajaisha mnatoa mapovu eti asipewe kipindi cha tatu. Wajinga kabisa!!!
 
Zamani upande wa upinzani walitwambiaga wakati wa kampeini kwamba watajenga barabara, watatujengea Vituo vya afya na hospitali, kuleta umeme na kuleta maji. Sasa kama hivi vyote vimeletwa tayari, sasa 2020 wakija kwa wananchi watatuaidi nini?

Naona hapa kwenye kusema ahadi zao ndo itakuwa ngumu wakaona bora waje upande huu ili wasipate taabu kupita katika chaguzi.
 
Mzee wangu kaniambia kwamba :Njaa ikihamia kichwani jalala utaliona ni sehemu safi ya kujipatia riziki :Ccm ni jalala linalonuka ufisadi na mizoga ya watu wasiyo na hatia (Ben saa 8) Acha walitumie jalala kujipatia riziki.
 
Y
Yaani sijui huu ujasiri wa undumilakuwili huwa mnautoa wapi! Kwa Mbowe kung'ang'ania madaraka hadi siku atakapomfuata Muumba wake sawa. Lakini kwa Jiwe ambaye hata kipindi kimoja hajaisha mnatoa mapovu eti asipewe kipindi cha tatu. Wajinga kabisa!!!
Wewe ndo Mjinga usiyejua tofauti kati ya Katiba ya Chama na Katiba ya Nchi! Katika huo ujinga wako ebu jiulize hivi Hashimu Rungwe wa CHAUMA hata akiwa Mwenyekiti wa Maisha wa Chama hicho unadhani kuna athari yoyote kwa Taifa!?. Ila kwa Rais wa Nchi hapana,vipindi viwili vinamtosha arudi Chato akapumzike atuachie Nchi yetu tujipange upya!
 
Wewe ndo Mjinga usiyejua tofauti kati ya Katiba ya Chama na Katiba ya Nchi! Katika huo ujinga wako ebu jiulize hivi Hashimu Rungwe wa CHAUMA hata akiwa Mwenyekiti wa Maisha wa Chama hicho unadhani kuna athari yoyote kwa Taifa!?. Ila kwa Rais wa Nchi hapana,vipindi viwili vinamtosha arudi Chato akapumzike atuachie Nchi yetu tujipange upya!
Ndio maana hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuwapigia kura muingie mshike madaraka ya nchi. Awe Rungwe, Mbowe, Zitto, Maalim wote akili moja. Kwamba uwe dikteta kwenye chama, halafu kwenye serikali uwe mdemokrasia?
 
Back
Top Bottom