Huko tuendako kuna tufani linakuja! Hii siasa ya CCM Mpya ya akina Bashiru Ali na Polepole ni dalili tu!

Huko tuendako kuna tufani linakuja! Hii siasa ya CCM Mpya ya akina Bashiru Ali na Polepole ni dalili tu!

Maoni yako ,inawezekana ikawa ndivyo sivyo,baada ya wananchi kung'amua ya kwamba hakuna upinzani nchini kuna wachumia tumbo tu.
Ni Sacco's za familia flani zinazotumia kichaka cha siasa kujinufaisha.
Wameona bora warudi sehemu yenye uhakika wa kufanya siasa bila bugzha

Yaani watu wengine sijui mtaelimika lini, yaani unaona umefika nchi iwe na mtazamo mmoja tu? pole sana
 
Ndio maana hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuwapigia kura muingie mshike madaraka ya nchi. Awe Rungwe, Mbowe, Zitto, Maalim wote akili moja. Kwamba uwe dikteta kwenye chama, halafu kwenye serikali uwe mdemokrasia?

Cha kushangaza siasa zinatoka kwenye itikadi na kuwa manipulations of opposition’s leaders. If you want to live happily you better join us! Even though you leave your heart in opposition you just come and wear green. And chant our chorus.
 
Back
Top Bottom