Huko Twitter leo tumeacha kuzungumzia kesi ya Chairman Mbowe, mbona tunajisahau kwa masuala yasiyo na umuhimu kwetu?

Huko Twitter leo tumeacha kuzungumzia kesi ya Chairman Mbowe, mbona tunajisahau kwa masuala yasiyo na umuhimu kwetu?

Mwenyekiti yupo ndani kwa kesi ya kubumba. Yupo ndani na anahitaji sapoti yetu kwa kila namna. By any means necessary.

Leo hii kila mwanaCdm anakomaa juu ya Spika Ndugai kuponda mikopo, tunakomaa juu ya Sgr kujengwa kwa mkopo.

My take; Tushikamane na tuache uashabiki.

Mtu yuko mahabusu Na haji mahakaman; tunajadili nini?
 
..Mwenyekiti hajasahaulika.

..Mahabusu wengine wa kisiasa nao hawajasahaulika.

..Mashekhe wanaozaa magerezani hawajasahaulika.

..Waliopotezwa wasiojulikana walipo hawajasahauliwa.
Mwenyekiti hajasahaulika.

..Mahabusu wengine wa kisiasa nao hawajasahaulika.

..Mashekhe wanaozaa magerezani hawajasahaulika.

..Waliopotezwa wasiojulikana walipo hawajasahauliwa
Lakini maisha lazima yaendelee saa haisimami.
 
Back
Top Bottom