Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Target yangu kubwa ni maeneo ya mpanda nataka nianze kufanya hii biashara kusafirisha kuleta huku nilipo (niwauzie wafanyabiashara wa huku jumla)..
Naomba kujua bei ya mashineni ikoje? Au bei ya mpunga ikoje?
Naomba kujua bei ya mashineni ikoje? Au bei ya mpunga ikoje?