Huko ulipo mashineni mchele shingapi?

Huko ulipo mashineni mchele shingapi?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Target yangu kubwa ni maeneo ya mpanda nataka nianze kufanya hii biashara kusafirisha kuleta huku nilipo (niwauzie wafanyabiashara wa huku jumla)..

Naomba kujua bei ya mashineni ikoje? Au bei ya mpunga ikoje?
 
Back
Top Bottom