Hivyo turidhike na hii hali sio...? TUMEPOTEA NDUGU ZANGU....Tunajua unachokusudia kusema lakini hakuna wakati wowote kulikuwa huduma nzuri huko maofisini.
MAGU please!!! rise up from the grave please!!!Kichwa cha habari chajitosheleza, yaani mambo yamelala mno ule usharpness haupo, kujali hakupo. Kitu cha dk 2 kinachukua dk30. Aisee hii ni hatari, Serikali mlala mno....
Inahusiana nini hii ma yeye kuwepo alipo? Hao watoto sis hatuna?Unataka awe sharp wakati watoto wake hawajaripoti skuli,hajui kesho watakula nini na bili ya maji ametumiwa kwenye simu?Jiongeze.Mpatie hela!
DaahKatibu amesema wafanyakazi wasifokewe wala wasibugudhiwe
Tulia hivyohivyo ili ujue haujui.Inahusiana nini hii ma yeye kuwepo alipo? Hao watoto sis hatuna?
Na ukiona yupo hivyo mtafute wa kukufanyia utakalo.Watumishi si sehemu ya kujitafutia umaarufu.Nenda kwingine.kazini sio sehemu ya excuses. kama huwezi kufanya kazi na una msongo wa mawazo omba leave uji-sort out. hizi sababu kuna siku nurse atamchomeka vibaya catherter mgonjwa anaekuhusu vibaya atatumia sababu hizi hizi unazotoa
Au sio! Umfanye utakalo.,😆😆😆😆😆? Unaongea tu.stress zako weka mbali na kaziNa ukiona yupo hivyo mtafute wa kukufanyia utakalo.Watumishi si sehemu ya kujitafutia umaarufu.Nenda kwingine.
Hicho unafikiri wala hakipo hivyo..siku ukija pokea huduma nje ya maeneo uliyoyazoea/kukulia kuna kitu utajifunza kitu na utafanya ulinganisho...TEMBEA NDUGU TEMBEA...tena kwa wewe mtoa huduma tembea maofini ya wenzenu wasiofanya kazi kama wamelazimishwa...Tembea hata hapa ndani ya nchi utajifunza kitu...Ulienda kupata huduma gani, wakati mwingine mteja unamueleza vizuri tu anaanza kukaza fuvu kisa ana haraka zake au anataka jambo lifanyike bila kufuata utaratibu basi anatoka hapo na hasira kibao. Mtu unamwelekeza vizuri tu nyaraka zinazotakiwa kesho yake anakuja nazo pungufu... Ukimwambia utasikia hukuniambia au huu ni urasimu mi nimechoma nauli etc. Ni mfano tu....
Maaaama mama mama, mama huyoo mama huyooioo maaama.Kichwa cha habari chajitosheleza, yaani mambo yamelala mno ule usharpness haupo, kujali hakupo. Kitu cha dk 2 kinachukua dk30. Aisee hii ni hatari, Serikali mlala mno....
Dah mbuzi mee nimekuelewa japo hujapenda kushare expirience yakoHicho unafikiri wala hakipo hivyo..siku ukija pokea huduma nje ya maeneo uliyoyazoea/kukulia kuna kitu utajifunza kitu na utafanya ulinganisho...TEMBEA NDUGU TEMBEA...tena kwa wewe mtoa huduma tembea maofini ya wenzenu wasiofanya kazi kama wamelazimishwa...Tembea hata hapa ndani ya nchi utajifunza kitu...
🤣🤣🤣 Anaupiga mwingiiiMaaaama mama mama, mama huyoo mama huyooioo maaama.
Umemuongelea dada mmoja hivi mweupe kibonge yupo pale NIDA Iringa. Saa nane na nusu tu anaondoka ofisini.Akingia ofisini saa mbili na nusu
Saa tatu kamili tu anaenda kunywa chai, supu anarudi saa tano kamili
Saa sita kamili ikifika anaenda lunch
Anarudi ofisini saa nane na nusu
Huko lunch ni kupiga stori,umbea tu
Akingia saa nane na nusu Ana zuga mpk tisa kamili anasepa nyumbani
Kuendelea na mizunguko yake
Ratiba hiyo ni ya wiki nzima
Alafu akirudi home anakuambia
Today I was very bizeee [emoji1]
Ova
Inasikitisha sana kwa vitu vingine havihitaji rasilimali fedha ila navyo bado tunashindwa kusimamia.......Tusha ingia mfumoni tuvumilie hadi pakuche
anakukata na vat😂Inasikitisha sana kwa vitu vingine havihitaji rasilimali fedha ila navyo bado tunashindwa kusimamia.......
Hivi ni kweli viongozi wa haya maofisi wanashindwa panga mpango kazi wa mzuri na kuusimamia vizuri kulingana na mazingira yao?
Ofisi inakosa ubunifu kabisaa wa kuhudumia wateja wao bila kutoka nje ya malengo ya kitaifa/kiwizara?
Hivi mnajua hata police ambapo wengi wetu tunapachukia panaweza toa huduma nzuri na ikawaridhisha wote washtaki na washtakiwa ...!!
Tuanapotea ndugu zangu..tunapotea...
Kuhudumia watu vibaya au visivyo au kupuuza hapamkomoi Rais au Bosi wako ila kunaumiza wananchi wasio na Hatia ..
Sasa hivi kuna baadhi ya maofisi ya serikali zile zinazohusisha malipo control number hawakupi ila wanaviduka vyao vya wakala wa pesa...uwarushie wao fedha na wao ndio wafanye malipo...nenda hospital ya Milembe Dodoma ukaone hicho kitu