Huku Kwetu Kuko hivi, Vipi Huko Kwenu?

Huku Kwetu Kuko hivi, Vipi Huko Kwenu?

Ni kweli JPM ana mazuri yake. Lkn kama ilivyo kwa wanadamu mabaya hufunika mazuri. Ubabe, kiburi na lugha chafu ndiyo vinamharibia.
Hayo wewe ndio unayaona. Hatahivyo, mkosoeni kiustaarabu Rais Magufuli kwa mapungufu yake na kumpongeza kwa mazuri yake. Ila kwasababu kupongeza sio lazima, basi mnaweza kunyamaza kuliko kupinga hata vitu vya kweli eti kwasababu tuu ni wapinzani.
 
Upinzani ukitumika vizuri utatusaidia sana watanzania. Upinzani imara utakuwa ndio sehemu ya mawazo mbadala, sehemu ya kupumulia.

Wapinzani walikosoa vizuri suala la kikokotoo na kumfanya Rais Magufuli akubaliane nao. Huo ndio upinzani tuutakao.
 
Inafurahisha sana kupata mawazo chanya. Mfano, kijijini kwetu nguzo zimefika kwa muda mrefu lakini waya bado kutandazwa. Tunawata wahusika walishughulikie hili.

Au sisi ni wananchi wa sehemu fulani. Tumeshirikiana na serikali kujenga zahanati. Tunahitaji watumishi wa afya
 
Nikiangalia mipango na nia ya Rais Magufuli kuna mambo yanahudhunisha sana kwa baadhi ya watendaji wake.

Nina imani kwa nia ya dhati ya Rais Magufuli kuhakikisha kila mtanzania anapata maendeleo ingeshuka hivyo kwa kila mtanzania hasa wale wenye dhamana ya uongozi, aki tungekuwa mbali zaidi.
 
Wapendwa watanzania wenzangu, salaam.

Kuna matukio naona yametoweka kabisa au kupungua sana huku Kwetu:

1.Ujambazi wa silaha
2.Ajali za barabarani, hasa mabasi na bodaboda
3.Migogoro ya wakulima na wafugaji
4.Vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga
5.Mgao wa umeme
6.Dharau za watumishi wa umma kwa wananchi wa kawaida
7.Udhalilishaji, vipigo na usumbufu wa askari mgambo kwa wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama wamachinga
8.Rushwa

Ningependa kufahamu hali ikoje maeneo mengine ya nchi.

Kama mwendo ni huohuo basi nadhani itatupasa tusichulie poa, yaan "we shouldn't take things for granted" (Mheshimiwa Lissu atanisahihisha grammar hiyo) ni vyema kujiuliza nini kimetokea?

Mgosi nina kiu ya kufahamu.

Amani Msumari
Tanga
Si mnasema huku jf hakuna wapiga kura? Sasa hizi ngonjera unamletea nani huku?
Unateseka sana we jamaa!
 
Mimi niwashauri vijana. Kwahayo niliyoyaandika ninatumaini yamefanyika kwa sehemu kubwa ya nchi yetu na yataendelea kufanyika. Uchaguzi mkuu ukiisha, hakuna cha CCM, CHADEMA au CUF Wala Nini, wote tutaendelea kuhitaji huduma hizi za msingi. Nina ushauri kwa vijana wote
 
Si mnasema huku jf hakuna wapiga kura? Sasa hizi ngonjera unamletea nani huku?
Unateseka sana we jamaa!
Mimi binafsi sijawahi kusema hivyo kwani ninatambua kuwa asilimia kubwa ya wanaJF ni watanzania. Watanzania ndio wapiga kura wenyewe
 
Wapendwa watanzania wenzangu, salaam.

Kuna matukio naona yametoweka kabisa au kupungua sana huku Kwetu:

1.Ujambazi wa silaha
2.Ajali za barabarani, hasa mabasi na bodaboda
3.Migogoro ya wakulima na wafugaji
4.Vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga
5.Mgao wa umeme
6.Dharau za watumishi wa umma kwa wananchi wa kawaida
7.Udhalilishaji, vipigo na usumbufu wa askari mgambo kwa wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama wamachinga
8.Rushwa

Ningependa kufahamu hali ikoje maeneo mengine ya nchi.

Kama mwendo ni huohuo basi nadhani itatupasa tusichulie poa, yaan "we shouldn't take things for granted" (Mheshimiwa Lissu atanisahihisha grammar hiyo) ni vyema kujiuliza nini kimetokea?

Mgosi nina kiu ya kufahamu.

Amani Msumari
Tanga
Huku kwetu naona:
1. Umaskini umezidi
2. Watumishi wa serikali hawaongezewa mishahara kwa miaka mitano
3. Uhuru wa habari umekufa
4. Watu wanapotea katika mazingira ya kutatanisha
5. Watu wanauwawa
6. Ukabila unaongezeka
7. Demokrasia imekufa
Huko kwenu mambo yakoje?
 
Kibaya chajiuza..............................
 
Huku kwetu naona:
1. Umaskini umezidi
2. Watumishi wa serikali hawaongezewa mishahara kwa miaka mitano
3. Uhuru wa habari umekufa
4. Watu wanapotea katika mazingira ya kutatanisha
5. Watu wanauwawa
6. Ukabila unaongezeka
7. Demokrasia imekufa
Huko kwenu mambo yakoje?
Kwetu yapo Kama nilivyoandika
 
Niliyoyaandika ni mambo machache sana. Ila nashauri;

Kuwa mpinzani hakukufanyi kuichukia serikali
Ni muhimu kuiunga mkono serikali iliyopo ili iweze kukuhudumia vizuri zaidi
Serikali imeweka utaratibu mzuri was kuyawezesha makundi yote ya kijamii (nione nitakusaidia) kufikia malengo yao
 
Wapendwa watanzania wenzangu, salaam.

Kuna matukio naona yametoweka kabisa au kupungua sana huku Kwetu:

1.Ujambazi wa silaha
2.Ajali za barabarani, hasa mabasi na bodaboda
3.Migogoro ya wakulima na wafugaji
4.Vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga
5.Mgao wa umeme
6.Dharau za watumishi wa umma kwa wananchi wa kawaida
7.Udhalilishaji, vipigo na usumbufu wa askari mgambo kwa wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama wamachinga
8.Rushwa

Ningependa kufahamu hali ikoje maeneo mengine ya nchi.

Kama mwendo ni huohuo basi nadhani itatupasa tusichulie poa, yaan "we shouldn't take things for granted" (Mheshimiwa Lissu atanisahihisha grammar hiyo) ni vyema kujiuliza nini kimetokea?

Mgosi nina kiu ya kufahamu.

Amani Msumari
Tanga
Umesahau kuweka namba za simu.
 
Ujambazi haujaisha ile sera ya sheitani mpinga uwepo wa mahakama ndio imeshika tamaa. Yaani saa hizi ni "Zombe style", jambazi yoyote au anayehisiwa ni jambazi hakuna kupeleka court, ni kuuwa kimya kimya. Na kama wananchi wakaona, basi utasikia kulikuwa na majibizano makali ya risasi kati ya polisi na majambazi, majambazi wote sita wameuwawa, polisi hamna hata mkwaruzo!!
 
Back
Top Bottom