Unashinda unalala na kuangalia tv, hela zije nyumbani kwako?Huku kijijini kwetu mambo yako vilevile wala hatuoni tofauti!Kilichoongezeka ni kuwa umeme umefika,basi mengine naona yako vilevile na mengine yamepungua!
Yaliyopungua ni kuwa fedha haipatikani kwa sasa,kazi unayofanya ni tembo ila kitu unachopata ni sisimizi!Hali ya maisha imekuwa ngumu!
Naongelea matukio ya ujambaziUjambazi haujaisha ile sera ya sheitani mpinga uwepo wa mahakama ndio imeshika tamaa. Yaani saa hizi ni "Zombe style", jambazi yoyote au anayehisiwa ni jambazi hakuna kupeleka court, ni kuuwa kimya kimya. Na kama wananchi wakaona, basi utasikia kulikuwa na majibizano makali ya risasi kati ya polisi na majambazi, majambazi wote sita wameuwawa, polisi hamna hata mkwaruzo!!
Unaitaka?Umesahau kuweka namba za simu.
Waione unaotaka kuwafurahisha.Unaitaka?
Ungenionesha kwanza mfano kwa wewe kuweka namba yako ili ionwe na Wale unaolenga kuwafurahishaWaione unaotaka kuwafurahisha.
Akili yako ni ya kuvukia barabara!Watu wa namna yako ni kuwaweka kapuni tu!Unashinda unalala na kuangalia tv, hela zije nyumbani kwako?
Sitafuti kuteuliwaUngenionesha kwanza mfano kwa wewe kuweka namba yako ili ionwe na Wale unaolenga kuwafurahisha
Wapendwa watanzania wenzangu, salaam.
Kuna matukio naona yametoweka kabisa au kupungua sana huku Kwetu:
1.Ujambazi wa silaha
2.Ajali za barabarani, hasa mabasi na bodaboda
3.Migogoro ya wakulima na wafugaji
4.Vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga
5.Mgao wa umeme
6.Dharau za watumishi wa umma kwa wananchi wa kawaida
7.Udhalilishaji, vipigo na usumbufu wa askari mgambo kwa wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama wamachinga
8.Rushwa
Ningependa kufahamu hali ikoje maeneo mengine ya nchi.
Kama mwendo ni huohuo basi nadhani itatupasa tusichukulie poa, yaan "we shouldn't take things for granted" (Mheshimiwa Lissu atanisahihisha grammar hiyo) ni vyema kujiuliza nini kimetokea?
Mgosi nina kiu ya kufahamu.
Amani Msumari
Tanga
hiyo ni kutokana na serikali imara ya ccm cha kufanya ni tarehe 28 kuichagua tena ili vilivyobaki viishe kabisaWapendwa watanzania wenzangu, salaam.
Kuna matukio naona yametoweka kabisa au kupungua sana huku Kwetu:
1.Ujambazi wa silaha
2.Ajali za barabarani, hasa mabasi na bodaboda
3.Migogoro ya wakulima na wafugaji
4.Vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga
5.Mgao wa umeme
6.Dharau za watumishi wa umma kwa wananchi wa kawaida
7.Udhalilishaji, vipigo na usumbufu wa askari mgambo kwa wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama wamachinga
8.Rushwa
Ningependa kufahamu hali ikoje maeneo mengine ya nchi.
Kama mwendo ni huohuo basi nadhani itatupasa tusichukulie poa, yaan "we shouldn't take things for granted" (Mheshimiwa Lissu atanisahihisha grammar hiyo) ni vyema kujiuliza nini kimetokea?
Mgosi nina kiu ya kufahamu.
Amani Msumari
Tanga
Sawasawa. Nadhani ushauri huu mzuri utazingatiwa na watanzania walio wengihiyo ni kutokana na serikali imara ya ccm cha kufanya ni tarehe 28 kuichagua tena ili vilivyobaki viishe kabisa
Ndugu Abdul Nondo aione kwenye failiVP kuteka watu kwa wale waliopewa jina la ubatizo wasiojulikana?
Waeleze vizuri JaneMagu katusaidia sana.
kama kuna kitu kimeongzeka basi hako vilevile au hujaelewa swali?Huku kijijini kwetu mambo yako vilevile wala hatuoni tofauti!Kilichoongezeka ni kuwa umeme umefika,basi mengine naona yako vilevile na mengine yamepungua!
Yaliyopungua ni kuwa fedha haipatikani kwa sasa,kazi unayofanya ni tembo ila kitu unachopata ni sisimizi!Hali ya maisha imekuwa ngumu!
Sijui umeandika nini?kama kuna kitu kimeongzeka basi hako vilevile au hujaelewa swali?
Money is the source of all evils, when there is no money all the listed evils are not there or are greatly reduced. Hayo yote tunashuhudia kwisha au kupungua kwa sababu mzunguko wa fedha mitaani umepotea kwa sababu tunazoelewa sote. Mfano, jambazi haendi kuiba nyumba fulani kwa kubahatisha bali anakuwa ana hakika ya kupata chochote huku akijua anaweza kukamatwa kabla ya kutekeleza azma yake na nini kitampata akikamatwa. Mabasi na bodaboda wanapata ajali wakati wanafukuzana kuwahi abiria ambao sasa hawasafiri sana kwa sababu ya ukata. Rushwa mtu anatoa sehemu ya pesa zake kununua huduma ambayo hutolewa bure au kwa gharama ndogo ili akamilishe mambo yake mapema kabla pesa aliyonayo haijatumika yote kwa shughuli nyingine zinazoweza kujitokeza. Vyombo vya dola vinajigamba kuwa vimethibiti uhalifu au matukio mabaya kutokana na juhudi za watendaji wao, siyo kweli, ukweli ni kuwa watu hawana pesa ya kunyang'anyana. Aliyonayo anachunga kwa nguvu zote isichukuliwe na asiyenayo!Wapendwa watanzania wenzangu, salaam.
Kuna matukio naona yametoweka kabisa au kupungua sana huku Kwetu:
1.Ujambazi wa silaha
2.Ajali za barabarani, hasa mabasi na bodaboda
3.Migogoro ya wakulima na wafugaji
4.Vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga
5.Mgao wa umeme
6.Dharau za watumishi wa umma kwa wananchi wa kawaida
7.Udhalilishaji, vipigo na usumbufu wa askari mgambo kwa wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama wamachinga
8.Rushwa
Ningependa kufahamu hali ikoje maeneo mengine ya nchi.
Kama mwendo ni huohuo basi nadhani itatupasa tusichukulie poa, yaan "we shouldn't take things for granted" (Mheshimiwa Lissu atanisahihisha grammar hiyo) ni vyema kujiuliza nini kimetokea?
Mgosi nina kiu ya kufahamu.
Amani Msumari
Tanga