Uchaguzi 2020 Huku Lissu, kule Zitto... Huku Mbowe, kule Pompeo katikati BBC maisha yanaenda haraka

Uchaguzi 2020 Huku Lissu, kule Zitto... Huku Mbowe, kule Pompeo katikati BBC maisha yanaenda haraka

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
BBC wameshamuweka Bulembo kwenye list ya USA ban na kimsingi Mambo yanazidi kunoga Sana tena sana kinachofanyika sSasa ni kuendelea kuuthibitisha ukweli Mambo yanayoendelea Tanzania.

Zitto katishiwa kuuawa na Bunge na wabunge wakapiga makofi akiwemo mchungaji wa kanisa Mama Lwakatare.

NAMTUMIA POMPEO.
 
BBC wameshamuweka Bulembo kwenye list ya USA ban na kimsingi Mambo yanazidi kunoga Sana tena sana kinachofanyika sSasa ni kuendelea kuuthibitisha ukweli Mambo yanayoendelea Tanzania.

Zitto katishiwa kuuawa na Bunge na wabunge wakapiga makofi akiwemo mchungaji wa kanisa Mama Lwakatare.

NAMTUMIA POMPEO.
Ccccm kama kifo cha nyani...miti yotee inatereza safari hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BBC wameshamuweka Bulembo kwenye list ya USA ban na kimsingi Mambo yanazidi kunoga Sana tena sana kinachofanyika sSasa ni kuendelea kuuthibitisha ukweli Mambo yanayoendelea Tanzania.

Zitto katishiwa kuuawa na Bunge na wabunge wakapiga makofi akiwemo mchungaji wa kanisa Mama Lwakatare.

NAMTUMIA POMPEO.
Rwakatare akufikiria anaishi kwa msaada Wa marekani akikatiwa misaada je na kupigwa ban je kwa kushabikia Zito kunyimwa haki ya kuishi
 
BBC wameshamuweka Bulembo kwenye list ya USA ban na kimsingi Mambo yanazidi kunoga Sana tena sana kinachofanyika sSasa ni kuendelea kuuthibitisha ukweli Mambo yanayoendelea Tanzania.

Zitto katishiwa kuuawa na Bunge na wabunge wakapiga makofi akiwemo mchungaji wa kanisa Mama Lwakatare.

NAMTUMIA POMPEO.
Kule China nae kaapa kuiadhibu ccm kisa imeinyima tenda ya sgr,stirlger George,bandari ya bagamoyo nk,China ndie aliyekuwa amekamata tenda nyingi Sana za ujenzi.
Mwaka huu kazi ipo kule mabeberu,huku wachina,hapa wapinzani huu moto walioanza nao wamepania kule wananachi makundi yote yamesomeshwa namba yana hasira ya kulipa kisasi ngoja tuone kama watawezapangua
 
Kama unajijua wewe ni mchezaji mzuri wa mpira kwanini ufiche chenga zako!
🤡🤡🤡🤡🤡☢💥❣
 
Bora tuchochee tu mpaka leo hakuna taarifa yeyote ya polisi kuwa ni wapi yupo ben saa nane, ni nani aliyehusika na kumpiga lissu risasi, ni wapi yupo azory gwanda....

Waache wachochee tu....

Sent using Jamii Forums mobile app
Polish hawana uwezo huo,tupo mkao wa kula kusubiria clip za kina Ben,azory walipo.
Ndumba hazijawahi ishinda technology
 
BBC wameshamuweka Bulembo kwenye list ya USA ban na kimsingi Mambo yanazidi kunoga Sana tena sana kinachofanyika sSasa ni kuendelea kuuthibitisha ukweli Mambo yanayoendelea Tanzania.

Zitto katishiwa kuuawa na Bunge na wabunge wakapiga makofi akiwemo mchungaji wa kanisa Mama Lwakatare.

NAMTUMIA POMPEO.

Mtamuu yule Mzee kwa Pressure, mnaona jinsi alivyochoka
 
Bulembo atakitaka kichwa cha Zitto...Kipelekwe mezani kama cha Yohana Mbatizaji.

CCM mmeshalikoroga na mbaya zaidi badala ya kujipanga mu handle namna gani hali hii nyie mnakurupuka!! Mnaruhusu watu wenu kuropoka hovyo eti ndiyo uzalendo.
 
BBC wameshamuweka Bulembo kwenye list ya USA ban na kimsingi Mambo yanazidi kunoga Sana tena sana kinachofanyika sSasa ni kuendelea kuuthibitisha ukweli Mambo yanayoendelea Tanzania.

Zitto katishiwa kuuawa na Bunge na wabunge wakapiga makofi akiwemo mchungaji wa kanisa Mama Lwakatare.

NAMTUMIA POMPEO.
[emoji23][emoji23]
 
BBC wameshamuweka Bulembo kwenye list ya USA ban na kimsingi Mambo yanazidi kunoga Sana tena sana kinachofanyika sSasa ni kuendelea kuuthibitisha ukweli Mambo yanayoendelea Tanzania.

Zitto katishiwa kuuawa na Bunge na wabunge wakapiga makofi akiwemo mchungaji wa kanisa Mama Lwakatare.

NAMTUMIA POMPEO.

Tutafanya assessment after three months from now kama yalikuwa makele ya chura ambayo hayamzuii tembo kunywa maji au la!
Uzoefu unaonyesha hata hili litapita bila lolote la maana. Time will tell
 
Back
Top Bottom