Huku meli ya kivita ya Eisenhower ikirudi nyumbani,Houth kwa kushirikiana na wenzao wa Iraq waipiga meli nyengine bila upinzani

Huku meli ya kivita ya Eisenhower ikirudi nyumbani,Houth kwa kushirikiana na wenzao wa Iraq waipiga meli nyengine bila upinzani

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Meli ya kivita kubwa ya Marekani pamoja na kikundi chake inarudi nyumbani baada ya miezi 8 ya kupambana na HOuth ndani ya bahari ya Red Sea.Nafasi yake itachukuliwa na meli nyengine ya USS Theodore Roosevet

Japo Houth wametangaza kuwa walifanikiwa kuijeruhi meli hiyo lakini wasemaji wa jeshi la Marekanini wamekanusha taarifa hizo.Pamoja na hivyo bado sababu ya kurudishwa nyumbani kwa meli hiyo hazijawekwa wazi .

Siku moja tu tangu meli ya Eiseenhower kuanza safari ya kurudi nyumbani wapiganaji hao wa Yemen wametangaza kuwa kwa kushirikiana na wenzao wa Iraq wameweza kuipiga bila kikwazo meli ya mizigo iliyopita eneo lao waliloweka marufuku kupita meli zenya uhusiano na Israel

Aerial drone likely launched by Yemen's Houthi rebels hits ship in the Red Sea

1719152454756.png
 
Hiyo Eisenhower yenyewe imeshambuliwa na houthi wanadai shambulizi lilikua successful,ukute inaenda tengenezwa
Wanaona aibu kusema kweli imeshambuliwa.Na sijui kwanini muda wote huo isiwezekane kushambuliwa.
Japo inawezekana isipate athari kubwa lakini hakuna kinachoweza kuikinga na droni za Houth.Kwani droni ni silaha hatari ambazo hiyo Eisehhower haiwezi kuzipiga zote zilizoelekezwa upande wake kwa muda wote wa miezi nane.
 
Meli ya kivita kubwa ya Marekani pamoja na kikundi chake inarudi nyumbani baada ya miezi 8 ya kupambana na HOuth ndani ya bahari ya Red Sea.Nafasi yake itachukuliwa na meli nyengine ya USS Theodore Roosevet

Japo Houth wametangaza kuwa walifanikiwa kuijeruhi meli hiyo lakini wasemaji wa jeshi la Marekanini wamekanusha taarifa hizo.Pamoja na hivyo bado sababu ya kurudishwa nyumbani kwa meli hiyo hazijawekwa wazi .

Siku moja tu tangu meli ya Eiseenhower kuanza safari ya kurudi nyumbani wapiganaji hao wa Yemen wametangaza kuwa kwa kushirikiana na wenzao wa Iraq wameweza kuipiga bila kikwazo meli ya mizigo iliyopita eneo lao waliloweka marufuku kupita meli zenya uhusiano na Israel

Aerial drone likely launched by Yemen's Houthi rebels hits ship in the Red Sea

View attachment 3023962
Hizi ndo habar ambazo waislamu mnapenda kuzisikia....
 
Hivi urusi akiwapelekea silaha nzito hao jamaa kutakuwa na amani kweli huko?
Me nipo kulingoja tukio hilo tu, basi!
Urusi angewapa myoto ya kibabe hawa jamaa hakika pangenoga.
Lakini Putin alisha tangaza jambo hili naimani anangoja muda tu.
 
Me nipo kulingoja tukio hilo tu, basi!
Urusi angewapa myoto ya kibabe hawa jamaa hakika pangenoga.
Lakini Putin alisha tangaza jambo hili naimani anangoja muda tu.
Hata mimi niko pamoja nawe.
 
Back
Top Bottom