Kwahiyo unataka kusema Rich anamzidi Jack kwa hela?Jack hana pesa ya kujenga ile nyumba pekeake ,jamaa kadandia post eti alikuwa anatuma pesa huko china
Jamaa anadai jack kasimamia kwa mda wa miaka miwili....Jack ajenge nyumba halafu amchukue mume akae nae sio rahisi ...
Hawawezi kushirikiana sio rahisi juzi tu hapa ,jack hana pesa ya kumshinda Rich hata kidogo ... Biashara za hao wanawake wengi no geresha angeshajenga kitambo .Kwahiyo unataka kusema Rich anamzidi Jack kwa hela?
Mimi naona watakuwa wameshirikiana kujenga, siegemei kokote.
Na nitaingia mzigoni kusaka ukweli juu ya hili…
Umeona mjengo ule wa wolper lknNi lile ghorofa kalimalizia?
Ngojeni nitarudi kuwapa za ndaaani [emoji23]
Ngoja nilifanyie kazi, nitarejea.Hawawezi kushirikiana sio rahisi juzi tu hapa ,jack hana pesa ya kumshinda Rich hata kidogo ... Biashara za hao wanawake wengi no geresha angeshajenga kitambo .
Nyumba kapost rich na mkewe ,halafu mkewe kafuta ..Jamaa ndio katuma pesa pesa jack kasimamia...Jack alivyokuwa na bifu na wasafi angepost hata hatu...
Bila uthibitisho?Mnatakiwa mnishukuru sana, huu ubuyu ningeupeleka kwa Mange nisingepata chini ya 1M!
kwani huyo bwanake wolper ni kabila gani? mkinga auWewe unadhani mpaka naandika hapa sina uthibitisho? I got them all darling
Mpaka anakoishi huyo kaka napajua, sio kila jambo niwawekee mengine tunasitiriana.
HahahaNi kwanini celebrities wamama wanapenda boy toys?
Kudate na mmama nyie mnaita mushangaz kuna mda ni kipengele sana🤔🤔labda uwe huna hela, wanakera sana....ukute mnene afu anazuga kudeka
HahahaHaipendezei bn 😁😁Kuna sisi miili yetu membamba kama kagame afu warefu, unakuta yy mfupi mnene mkiwa bar atataka aoneshe unampenda sana kubabaqe utasumbuliwa
HahahaWanawake wa kisasa sijui kuna lishe gani walikosa ambayo inasaidia ubongo kufanya kazi sawa sawa
Sasa huyu ni mtu ambaye wolper anaona ni sahihi kutoka nae katika umri huo wa miaka 37+. Yaani mtu umeshaolewa, unawatoto wawili unaacha kutulia kulea watoto, huyo kijana muache ajirushe kuna vitu anahitaji ili kichwa chake kifanye kazi sawa sawa ambavyo hauwezi mpa hata ufanyeje.
Wolper umri umeenda unaanza leta ligi na watoto wa kiume ambao ndio wapo kwenye prime, tangu lini
MakaburiAu sio