Huku ni kukomoana, sijawahi kuona wala kusikia kama hili duniani, TRA mjiangalie

Huku ni kukomoana, sijawahi kuona wala kusikia kama hili duniani, TRA mjiangalie

Je, ilitoka Taarifa Kwa mamlaka husika juu ya Madhira yako ya kiuchumi na mategemeo yako ya uchelewaji Wa ulipwaji Wa Deni???

Sasa umepangwa nyumba ya Mtu, Mda Wa kulipa na tarehe zinakaribia Mpaka zimepita umwvunga Tu kana Kwamba nyumba ni Yako, mwenye nyumba kaamua kukurushia Vitu nje unaanza kulalamika kuwa ni mbaya.

Watanzania tunatabia ya kuchukulia Vitu poapoa...

Tanzania ni nchi salama Kwa Uwekezaji, Biashara na ujasiliamali tena Kwa Kodi nafuu.

Nchi zingine za watu, Sasa hivi ungekuwa unaangaika na kutafuta mawakili. Na wakati huo Kodi ni 35% bado mapenati.

Tusikimbilie Tu kulalamika, Je, tulijaribu kutimiza wajibu itupasvyo??
Acha kutia watu hasira chawa WA serikali kandamizi wewe.

Eti "nchi zingine..." Kwani kuna afadhari Gani ya Kodi hapa nchini kwenu?
 
Je, ilitoka Taarifa Kwa mamlaka husika juu ya Madhira yako ya kiuchumi na mategemeo yako ya uchelewaji Wa ulipwaji Wa Deni???

Sasa umepangwa nyumba ya Mtu, Mda Wa kulipa na tarehe zinakaribia Mpaka zimepita umwvunga Tu kana Kwamba nyumba ni Yako, mwenye nyumba kaamua kukurushia Vitu nje unaanza kulalamika kuwa ni mbaya.

Watanzania tunatabia ya kuchukulia Vitu poapoa...

Tanzania ni nchi salama Kwa Uwekezaji, Biashara na ujasiliamali tena Kwa Kodi nafuu.

Nchi zingine za watu, Sasa hivi ungekuwa unaangaika na kutafuta mawakili. Na wakati huo Kodi ni 35% bado mapenati.

Tusikimbilie Tu kulalamika, Je, tulijaribu kutimiza wajibu itupasvyo??
Nchi yenye kodi 35% ni nchi gani niende nikachek tax laws zao, nifanye comparison na kwetu..twende kwa namba, Tanzania kodi nyingi mkuu
 
Nachokushauri na wao wapo hapa...na NI makatili kweli kweli...na wanamamlaka ya kukupsamehe hio fain ...ongea nao vizuri hata hio biashara umekadiriwa juu sana itakuwa umewapa maelezo ya prediction za juu...hao NI watu ongea nao ukishindwa so salama Ila wakwepe ...tatizo tunakopa Kodi wachache...tungelipa wote kama.magu alivyofanya kila MTU yaani hakuna kuzurura bila ya kulipa Kodi ndio tungeelewana kidogo maumivu uyapatayo wachache wanayajua
Mtu grocery analipishwa laki 4 kwa mwaka🤣 sasa sijui kitambaa cheupe watalipaje😂
 
WakO vizuri ila na wenyewe wana beiiii
Sasa huduma ya kukuondolea maumivu ya kichwa unataka iwe bei rahisi? Lipa laki 3 tukumalizie matatizo yako na Mamlaka unaona nyingi mwisho unaenda kupasuka.
Yaani wanavyowakomalia hivyo utafikiri wako serious wanatafuta hela ya serikali kumbe wanatafuta hela ya ada za watoto wao na kumalizia nyumba zao.
Nishafunga biashara moja. Hii iliobaki nawasubiri siku ya discussion hawataamini nikiwaambia hio hela mnayotaka nilipe sina, fungeni boashara.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu na wewe umeingia kwenye ule mfumo wa wawekezaji Mobitel>Buzz>Tigo>Mixx by Yas.
 
Sasa huduma ya kukuondolea maumivu ya kichwa unataka iwe bei rahisi? Lipa laki 3 tukumalizie matatizo yako na Mamlaka unaona nyingi mwisho unaenda kupasuka.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu na wewe umeingia kwenye ule mfumo wa wawekezaji Mobitel>Buzz>Tigo>Mixx by Yas.
Hakuna namna mkuu. Hawataona jina langu tena. Hawa wapuuzi ukinyooka ndio unakuwa mnyonge wao.
 
Pamoja na umachinga wangu, bado nikasema nisaidie nchi yangu kwa kulipa kodi, nimechukua tin namba nikakata leseni nikafungua kiosk, nikakadiriwa nilipe laki nne kwa mwaka, kila miezi mitatu 100,000/=.

Nimelipa vizuri mara tatu, mara ya nne nimechelewa kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu ikiwemo biashara kuchechemea,

Wiki iliyopita nikakopa ili nilipe deni la serikali nakuta kuna 100,000/= principal,
1500/= riba na 150,000/= adhabu au faini ajili ya kuchelewa kulipa,

Hivi kweli mimi nitafanya biashara halali tena?

Serikali na nyie tra mjiangalie sasa
Hizo jamaa ni Mbuzi sana. Miaka ile inaingia madarakani ile Skonzi si nilijida kuanza biashara kiuaminifu. Niefungua na kila kitu hadi Principal nimelipa lakini kibali cja kianza rasmi biashara hakijatoka, mambo mengi nakuja kustuka mwaka tayari biashara sijaanza sababu Manispaa haijanipa Kibale kwa maelezo mengi ya kipumbavu, T.R.A nao wanakuja kudai kodi.

Nikawauliza kodi kwa biashara gani wakati wenzenu hawajatoa kibali? Site mmeenda mmekuta hakuna Project, nilitaraji mngenisaidia kupata kibali sababu nilishawahi kuja kuwaoba hu saada nikihofia waka utaatika ibai haijatoa na ninyi mtadai kodi na ndiyo imekuwa.

Wakajifanya kuleta ujuaji wa kuwa juu ya sheria, nikawaambia basi mimi ndiye sheria mwenyewe, kama mnaamini mpo juu yangu bssi jishikilieni vizuri.
 
Hakuna namna mkuu. Hawataona jina langu tena. Hawa wapuuzi ukinyooka ndio unakuwa mnyonge wao.
Nakubaliana na wewe, hawa inabidi muende nao hivyohivyo. Hawa ndiyo chanzo kikuu cha wananchi kutokuwa na hali ya kulipa kodi na kuishia kuwa na ujanja ujanja mwingi.
 
Pamoja na umachinga wangu, bado nikasema nisaidie nchi yangu kwa kulipa kodi, nimechukua tin namba nikakata leseni nikafungua kiosk, nikakadiriwa nilipe laki nne kwa mwaka, kila miezi mitatu 100,000/=.

Nimelipa vizuri mara tatu, mara ya nne nimechelewa kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu ikiwemo biashara kuchechemea,

Wiki iliyopita nikakopa ili nilipe deni la serikali nakuta kuna 100,000/= principal,
1500/= riba na 150,000/= adhabu au faini ajili ya kuchelewa kulipa,

Hivi kweli mimi nitafanya biashara halali tena?

Serikali na nyie tra mjiangalie sasa
Hao ndio tiharahei.
 
Back
Top Bottom