Huku raia wakipigwa na Israel Mahmoud Abbas apiga picha na Blinken.Habari zilipovuja Blinken akakimbizwa mbio

na hao jamaa ni matajiri na watoto wao hawakai Gaza wala westbank. kama yule Ismail Haniye unaambiwa utajiri wake ni kama Bilioni za kitanzania 5.
 
Kwahiyo wewe ulikua ndani ya hichokikao cha siri hadi kusikia mazungumzo yao?[emoji28]

Pole sana gaza inasafishwa magaidi lazima yauwawe?
πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…