Huku Rwanda na Uganda wakizinguana, Kenya na Tanzania watunishiana misuli kwenye mpaka tena

Huku Rwanda na Uganda wakizinguana, Kenya na Tanzania watunishiana misuli kwenye mpaka tena

Wewe Ngoja nikufundishe kidogo, katika biashara kitu muhumi ni faida, faida hupatikana Baada ya kutoa manunuzi toka katika mauzo. Hiyo ndio inaitwa balance of trade.

Kenya mliuzia Uganda $650M, na mlinunua $570M, faida mliyotengeneza ni $80. Tanzania faida tulizotengeneza SDC ni $445M, Hahahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa umetoka balance of trade umeenda faida , Yani umejichanganya haujielewi... Balance of trade ni tofauti Kati ya unachouza na unachonunua kutoka hizo nchi.... Ulikua unajisifia vile mko na uhusiano mzuri na nchi za sadc, a good relation with your trade partners is when you have a good balance of trade Yani mnacho uza na mnacho nunua ni thamani Sawa..... Lakini ulichonionyesha hapo ulipokua unajisifu eti mko na positive balance of trade in your favour by $445m, ni kwamba Tanzania mnahitaji Sana Sadc kuliko vile SADC inawahitaji (ndo maana hua .metulia huko sadc), hamtaki Ku upset the status quo)... That's never a recipe for good relations ...
On the other hand, Kenya na Uganda lazima wahakikishe hatutawahi kosana manake tuko na "Mutual Assured Distruction" Kenya is the biggest importer of Ugandan goods and Uganda is the biggest importer of Kenyan goods.... We both need each other equally..

And speaking of profits , it depends on what you mean as profits... Cause balance of trade and profits are mutually exclusive... Sisi tukiuzia Uganda mafuta ya kupikia,sabuni,simiti..etc tunapata faida , wao wakituuzia mahindi, Chuma, chai etc wanapata faida .... Sio lazima mmoja auzie mwenzie vitu vingi zaidi ndo aseme amepata faida .... Everyone has his selling strengths... Sisi tukiuzia EU horticulture, chai etc na tununue mashini,magari, electronics kutoka huko ... Sote tunafaidishana Viwanda vya EU vinafaidika na wakulima wetu wanafaidika.... Kitu Kobaya ni pale ambapo nchi moja inafadi zaidi kuliko nchi nyengine, kama ule mfano uliotoa wa KENYA NA CHINA.... Ambao ni Sawa Sawa na kinachoendelea Kati ya Tz na SADC!
 
Sasa umetoka balance of trade umeenda faida , Yani umejichanganya haujielewi... Balance of trade ni tofauti Kati ya unachouza na unachonunua kutoka hizo nchi.... Ulikua unajisifia vile mko na uhusiano mzuri na nchi za sadc, a good relation with your trade partners is when you have a good balance of trade Yani mnacho uza na mnacho nunua ni thamani Sawa..... Lakini ulichonionyesha hapo ulipokua unajisifu eti mko na positive balance of trade in your favour by $445m, ni kwamba Tanzania mnahitaji Sana Sadc kuliko vile SADC inawahitaji (ndo maana hua .metulia huko sadc), hamtaki Ku upset the status quo)... That's never a recipe for good relations ...
On the other hand, Kenya na Uganda lazima wahakikishe hatutawahi kosana manake tuko na "Mutual Assured Distruction" Kenya is the biggest importer of Ugandan goods and Uganda is the biggest importer of Kenyan goods.... We both need each other equally..

And speaking of profits , it depends on what you mean as profits... Cause balance of trade and profits are mutually exclusive... Sisi tukiuzia Uganda mafuta ya kupikia,sabuni,simiti..etc tunapata faida , wao wakituuzia mahindi, Chuma, chai etc wanapata faida .... Sio lazima mmoja auzie mwenzie vitu vingi zaidi ndo aseme amepata faida .... Everyone has his selling strengths... Sisi tukiuzia EU horticulture, chai etc na tununue mashini,magari, electronics kutoka huko ... Sote tunafaidishana Viwanda vya EU vinafaidika na wakulima wetu wanafaidika.... Kitu Kobaya ni pale ambapo nchi moja inafadi zaidi kuliko nchi nyengine, kama ule mfano uliotoa wa KENYA NA CHINA.... Ambao ni Sawa Sawa na kinachoendelea Kati ya Tz na SADC!
Hahahahahah, unaumwa wewe nenda Kanye kwanza, Hahahaha, Hahahaha, umeishiwa kabisa Wewe, Hahahaha, kichwa chako ni kibovu sana.

Hivi Unajua kwanini China inaendelea kwa kasi kuliko nchi kubwa hapa duniani?, kwasababu China inauza zaidi kuliko inachonunua toka nje, the same to Japan, wanaiuzia USA zaidi kuliko wanavyonunua toka USA, China na Japan kila mwaka wanakuwa na positive balance of trade kubwa Kati yao na USA(Profit), kama ambavyo Tanzania tulivyo na positive balance of trade(profit) na SADC.

Pole Sana, ninajua umeelewa vizuri sana jinsi Tanzania inavyofaidika kufanya biashara na SADC. Katika biashara kuna terms mbili tu, "profit and lose", haya unayotaka kuyaleta kwamba kila mmoja anamuuzia mwenzake eti ndiyo faida, ni dalili za kutapatapa. Kenya na China wanafanya biashara, Kenya is a net exporter of goods from China, Kenya doesn't make any profit(Money), apart from getting goods and services from China, this is not healthy type of relationship.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry, Kenya is a net importer of goods from China, while Tanzania is a net exporter of goods to SADC. Hahahah Wakenya wanaumia sana wakisikia Tanzania ni net exporter in SADC, walidhani South Africa ingeifanya Tanzania kama Soko lake, in fact the opposite is true.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
joto la jiwe usijifanye hujui tanzagiza ni dumping ground ya SADC products. What do you manufucture and export?
 
Sasa umetoka balance of trade umeenda faida , Yani umejichanganya haujielewi... Balance of trade ni tofauti Kati ya unachouza na unachonunua kutoka hizo nchi.... Ulikua unajisifia vile mko na uhusiano mzuri na nchi za sadc, a good relation with your trade partners is when you have a good balance of trade Yani mnacho uza na mnacho nunua ni thamani Sawa..... Lakini ulichonionyesha hapo ulipokua unajisifu eti mko na positive balance of trade in your favour by $445m, ni kwamba Tanzania mnahitaji Sana Sadc kuliko vile SADC inawahitaji (ndo maana hua .metulia huko sadc), hamtaki Ku upset the status quo)... That's never a recipe for good relations ...
On the other hand, Kenya na Uganda lazima wahakikishe hatutawahi kosana manake tuko na "Mutual Assured Distruction" Kenya is the biggest importer of Ugandan goods and Uganda is the biggest importer of Kenyan goods.... We both need each other equally..

And speaking of profits , it depends on what you mean as profits... Cause balance of trade and profits are mutually exclusive... Sisi tukiuzia Uganda mafuta ya kupikia,sabuni,simiti..etc tunapata faida , wao wakituuzia mahindi, Chuma, chai etc wanapata faida .... Sio lazima mmoja auzie mwenzie vitu vingi zaidi ndo aseme amepata faida .... Everyone has his selling strengths... Sisi tukiuzia EU horticulture, chai etc na tununue mashini,magari, electronics kutoka huko ... Sote tunafaidishana Viwanda vya EU vinafaidika na wakulima wetu wanafaidika.... Kitu Kobaya ni pale ambapo nchi moja inafadi zaidi kuliko nchi nyengine, kama ule mfano uliotoa wa KENYA NA CHINA.... Ambao ni Sawa Sawa na kinachoendelea Kati ya Tz na SADC!
Iko hivi msee, hiyo tofauti ya export na import ikiwa negative inakuwa "unfavourable balance of trade" (loss) hii nikama kinachotokea kwa Kenya na China. Inapokua positive inakua favourable BOT, the higher the number the better. Wewe unahisi mpaka iwe kwenye equilibrium yani mfano wa 1-1=0 ndiyo inakua balance! Unakosea kutafsiri terms za kiuchumi kutumia kiingereza chako cha primary school. Joto la jiwe yuko sahihi Tz ina enjoy a favourable BOT zaidi SADC kuliko EAC kwa hiyo SADC inafaida zaidi kwa kutuingizia pesa za kigeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo wanataka kutufanya sisi madampo?? kwamba tusiwe na haki ya kujua nini tunalishwa nao?? wana ajenda gani ya siri labda ambayo hawataki tuifahamu??
 
Iko hivi msee, hiyo tofauti ya export na import ikiwa negative inakuwa "unfavourable balance of trade" (loss) hii nikama kinachotokea kwa Kenya na China. Inapokua positive inakua favourable BOT, the higher the number the better. Wewe unahisi mpaka iwe kwenye equilibrium yani mfano wa 1-1=0 ndiyo inakua balance! Unakosea kutafsiri terms za kiuchumi kutumia kiingereza chako cha primary school. Joto la jiwe yuko sahihi Tz ina enjoy a favourable BOT zaidi SADC kuliko EAC kwa hiyo SADC inafaida zaidi kwa kutuingizia pesa za kigeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo haulelewi naongelea nini....... Naelewa balance of trade ni nini, na naelewa positive na negative balance of trade...... Ninachosema hapa ni, ili nchi ziwe na uhusiano mzuri, ni vizuri balance of trade iwe kwenye equilibrium hapo ndo nchi mbili zitahakikisha hazikosani manake kila mtu anafaidi kutoka kwa mwenzake..




Hahahahahah, unaumwa wewe nenda Kanye kwanza, Hahahaha, Hahahaha, umeishiwa kabisa Wewe, Hahahaha, kichwa chako ni kibovu sana.

Hivi Unajua kwanini China inaendelea kwa kasi kuliko nchi kubwa hapa duniani?, kwasababu China inauza zaidi kuliko inachonunua toka nje, the same to Japan, wanaiuzia USA zaidi kuliko wanavyonunua toka USA, China na Japan kila mwaka wanakuwa na positive balance of trade kubwa Kati yao na USA(Profit), kama ambavyo Tanzania tulivyo na positive balance of trade(profit) na SADC.

Pole Sana, ninajua umeelewa vizuri sana jinsi Tanzania inavyofaidika kufanya biashara na SADC. Katika biashara kuna terms mbili tu, "profit and lose", haya unayotaka kuyaleta kwamba kila mmoja anamuuzia mwenzake eti ndiyo faida, ni dalili za kutapatapa. Kenya na China wanafanya biashara, Kenya is a net exporter (I think you meant to say Importer) of goods from China, Kenya doesn't make any profit(Money), apart from getting goods and services from China, this is not healthy type of relationship.

Sent using Jamii Forums mobile app
pale mwanafuzi anapojijibu mwenyewe, mwalimu hua anafurahia sana, you had the answer all along!
Baada ya kujitekenya na kucheka mwenyewe umezunguka mpaka mwishowe, bila kujua, umerudi pale pale nilipokua nasema

What I have highlighted there is exactly what I have been trying to tell you of the trade between Tanzania and SADC..... China exports way more to Kenya than it imports.... which is not a healthy relationship ........ relatively, the same can be said in your perspective between Tz and SADC .... You should all be looking for ways to even out the trade balance or else Some countries withinn SADC might start to complain that they are being taken advantage of (The same issue was a problem in COMESA some years back untill we all agreed we will accept as much importation as we export to these countries and if we are not ready then you have to ask for permission from other COMESA memebers)

Alafu kuhusu hio issue ya USA and Japan/China.......... Did you see what eventually happened???????? Donald Trump almost started a trade war with China and also by extension Japan when he raised tariffs for Chinese goods in-order to force them to the negotiating table for US goods to be allowed a free pass in China so that the trade balance can be evened out!!!!!!!!!!!


Kenya iko na positive balance of trade with many countries too, lakini kwa wale biggest importers of Kenyan goods, ni lazima tuhakikishe pia sisi tunanunua bidhaa nyingi kutoka kwao ili wasiamke siku moja na waamue tumefaidi sana kutoka kwao bila wao kufaidi chochote............


Hii ndio maana EU ikaja na EPA agreement ya ku deal na emerging economies manake kwa miaka mingi wamekua wakiruhusu dutty free imports kutoka 3rd world countries sasa imefika wakati uchumi wa hizi nchi umekua , sasa EU inasema kama mnataka kuendelea kuwauzia bidhaa dutty free lazima pia nyinyi mkubali EU wauze bidhaa zao huku hadi balance of trade iwe karibu kutoshana
 
Wewe ndo haulelewi naongelea nini....... Naelewa balance of trade ni nini, na naelewa positive na negative balance of trade...... Ninachosema hapa ni, ili nchi ziwe na uhusiano mzuri, ni vizuri balance of trade iwe kwenye equilibrium hapo ndo nchi mbili zitahakikisha hazikosani manake kila mtu anafaidi kutoka kwa mwenzake..





pale mwanafuzi anapojijibu mwenyewe, mwalimu hua anafurahia sana, you had the answer all along!
Baada ya kujitekenya na kucheka mwenyewe umezunguka mpaka mwishowe, bila kujua, umerudi pale pale nilipokua nasema

What I have highlighted there is exactly what I have been trying to tell you of the trade between Tanzania and SADC..... China exports way more to Kenya than it imports.... which is not a healthy relationship ........ relatively, the same can be said in your perspective between Tz and SADC .... You should all be looking for ways to even out the trade balance or else Some countries withinn SADC might start to complain that they are being taken advantage of (The same issue was a problem in COMESA some years back untill we all agreed we will accept as much importation as we export to these countries and if we are not ready then you have to ask for permission from other COMESA memebers)

Alafu kuhusu hio issue ya USA and Japan/China.......... Did you see what eventually happened???????? Donald Trump almost started a trade war with China and also by extension Japan when he raised tariffs for Chinese goods in-order to force them to the negotiating table for US goods to be allowed a free pass in China so that the trade balance can be evened out!!!!!!!!!!!


Kenya iko na positive balance of trade with many countries too, lakini kwa wale biggest importers of Kenyan goods, ni lazima tuhakikishe pia sisi tunanunua bidhaa nyingi kutoka kwao ili wasiamke siku moja na waamue tumefaidi sana kutoka kwao bila wao kufaidi chochote............


Hii ndio maana EU ikaja na EPA agreement ya ku deal na emerging economies manake kwa miaka mingi wamekua wakiruhusu dutty free imports kutoka 3rd world countries sasa imefika wakati uchumi wa hizi nchi umekua , sasa EU inasema kama mnataka kuendelea kuwauzia bidhaa dutty free lazima pia nyinyi mkubali EU wauze bidhaa zao huku hadi balance of trade iwe karibu kutoshana
Nadhani tunaelewana, kwamba kwa sasa hivi Tanzania inafaidika zaidi kufanya biashara na SADC kuliko na EAC, hilo ndio nilikua ninataka ulijue pamoja na Wakenya wengine, ili mnapoanzisha chokochoko na Tanzania mjiue nani atakayesikia maumivu zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani tunaelewana, kwamba kwa sasa hivi Tanzania inafaidika zaidi kufanya biashara na SADC kuliko na EAC, hilo ndio nilikua ninataka ulijue pamoja na Wakenya wengine, ili mnapoanzisha chokochoko na Tanzania mjiue nani atakayesikia maumivu zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
SADC ni muungano wa nchi 16 zenge combined GDP of $700B, EAC ni muungano wa nchi 6 zenge combined GDP of $150B.... ambapo Rwanda na Burundi ni kama mkoa ..... Kwahivyo si jambo la ajabu ukituambia mnauza vingi ndani ya SADC kuliko EAC...........
 
SADC ni muungano wa nchi 16 zenge combined GDP of $700B, EAC ni muungano wa nchi 6 zenge combined GDP of $150B.... ambapo Rwanda na Burundi ni kama mkoa ..... Kwahivyo si jambo la ajabu ukituambia mnauza vingi ndani ya SADC kuliko EAC...........

Inawezekana SADC ikawa na mikoa mingi mnayoiita nchi kumbe bora hata hao Rwanda hahah.

As per 2017

Malawi population: 19mil
Malawi GDP:6.3bil

Comoro population:817,000
Comoro Gdp:$650mil

Eswatin population:1.367 mil
Eswatin gdp:$4.4 bil

Lesotho population:2.23mil
Lesotho Gdp:2.6 bil

seychelles population:95,843
seychelles gdp:$1.5bil

Wkt.
Rwanda population:13mil
Rwanda Gdp:$9.1 bil





Sent using Jamii Forums mobile app
 
SADC ni muungano wa nchi 16 zenge combined GDP of $700B, EAC ni muungano wa nchi 6 zenge combined GDP of $150B.... ambapo Rwanda na Burundi ni kama mkoa ..... Kwahivyo si jambo la ajabu ukituambia mnauza vingi ndani ya SADC kuliko EAC...........
Basi inawabidi muwe makini kuhusu chokochoko na Tanzania kwasababu Kenya ndiyo itakayoathirika zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana SADC ikawa na mikoa mingi mnayoiita nchi kumbe bora hata hao Rwanda hahah.

As per 2017

Malawi population: 19mil
Malawi GDP:6.3bil

Comoro population:817,000
Comoro Gdp:$650mil

Eswatin population:1.367 mil
Eswatin gdp:$4.4 bil

Lesotho population:2.23mil
Lesotho Gdp:2.6 bil

seychelles population:95,843
seychelles gdp:$1.5bil

Wkt.
Rwanda population:13mil
Rwanda Gdp:$9.1 bil





Sent using Jamii Forums mobile app
Rwanda walifika 13mil lini? I thought they were 7M
 
Inawezekana SADC ikawa na mikoa mingi mnayoiita nchi kumbe bora hata hao Rwanda hahah.

As per 2017

Malawi population: 19mil
Malawi GDP:6.3bil

Comoro population:817,000
Comoro Gdp:$650mil

Eswatin population:1.367 mil
Eswatin gdp:$4.4 bil

Lesotho population:2.23mil
Lesotho Gdp:2.6 bil

seychelles population:95,843
seychelles gdp:$1.5bil

Wkt.
Rwanda population:13mil
Rwanda Gdp:$9.1 bil





Sent using Jamii Forums mobile app
Yote tisa, kumi.... GDP ya SADC inafika $700B wakati GDP ya EAC ni $150B
 
Basi inawabidi muwe makini kuhusu chokochoko na Tanzania kwasababu Kenya ndiyo itakayoathirika zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mulishafunga mipaka yenu mkifikiri Kenya itaanguka, sahii tunachowauzia hakifiki hata $180m...... Tulipata mazoko mengine kama kina Zambia,Malawi kupitia COMESA ... We are survivors, you can never keep us down
 
Sisi sio tulianza hizi tit for that mlianza nyie mlipozuia Unga wa azam na gas hadi waziri wetu akawasiliana na waziri wenu lakini hamkusikia na sisi tukajibu tulishayazungumza yakaisha lakini mienzi mitatu iliyopita mkarudia tena. Hebu fikiria tumekuja kujibu mienzi mitatu baadaye jioni kama tuliwavumilia sana

Tatizo wakenya hamfualii viongozi wenu wanaifanyia nini tz lakini tukijibu mapigo nyie mnakuja kulialia humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa Wakenya dawa yao nikuwanyoosha wakianza sie tunamaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwanasheria majura evarist kwenye the east aftican (kama sijakosea) alikuaga na makala juu ya EAC kua imeshakufa.
 
Mulishafunga mipaka yenu mkifikiri Kenya itaanguka, sahii tunachowauzia hakifiki hata $180m...... Tulipata mazoko mengine kama kina Zambia,Malawi kupitia COMESA ... We are survivors, you can never keep us down
Hivi bidhaa zenu zinafikaje Zambia na Malawi?, Ninarudia tena kuwakumbusha kwamba kuweni makini sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom