Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Sisi huku mtaani kwetu walikata jana kutoka saa 12 asubuh wakarudisha saa 1 jioni yaa tanesko toka nchii imeanza ndo shirika la hovyo sana basi wawe wanakata na kwa bi tozo mambo yawe sawa mbwa wale