Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hojaNa huku tayari... tanesco ibadilishwe jina iwe gizanesco...
Watakuja kusema usiwapangie matumizi ya umeme wao. Kwani kule kwao haukatiki?Sisi huku mtaani kwetu walikata jana kutoka saa 12 asubuh wakarudisha saa 1 jioni yaa tanesko toka nchii imeanza ndo shirika la hovyo sana basi wawe wanakata na kwa bi tozo mambo yawe sawa mbwa wale
Na shida iliyo kubwa zaidi ni viongozi walioshindwa kazi kuendelea kuongoza.Ni aibu sana, shida sio kukosa umeme. Shida ni haijulikani ni lini hii hali itakwisha.
ni changamotoNa huku tayari... tanesco ibadilishwe jina iwe gizanesco...
Kwa hiyo Mama alivyoona umeme ni wa shida akaamua kumtoa mwanae nje kumuepusha na lawamaπKwa maeneo niliyopo umeme haukuwahi kukatika licha ya hali ya ukosekanaji wa umeme kwa muda unaondelea kwenye baadhi ya maeneo nchini.
Leo naamka umeme hakuna nikajua ni luku imeisha kumbe tayari washachukua umeme wao.
Hali ni tete kwa wanaotegemea umeme kwenye kuendesha biashara zao, sijui hii changamoto itadumu mpaka lini?
TANESCO TANESCO TANESCO
Kabisa na serikali ipo kimya serikali ya hovyo sanaNi aibu sana, shida sio kukosa umeme. Shida ni haijulikani ni lini hii hali itakwisha.
Tatizo kila jambo kwao ni dili, fursa kwao, uongozi wa hivi ni mateso kwa wananchiNa shida iliyo kubwa zaidi ni viongozi walioshindwa kazi kuendelea kuongoza.
Sijui wananchi tunakwama wapi kuwaondoa hao walioshindwa kazi.
Hawakati sisi wengine wanatukatia wanatuona manyaniWatakuja kusema usiwapangie matumizi ya umeme wao. Kwani kule kwao haukatiki?
π mwanae kipara ?Kwa hiyo Mama alivyoona umeme ni wa shida akaamua kumtoa mwanae nje kumuepusha na lawamaπ
Tatizo ni kushindwa kuweka mambo wazi, wanafanya mambo kama ilivyozoelekaKabisa na serikali ipo kimya serikali ya hovyo sana
π wakate na huko au napo sio tanesco?Hawakati sisi wengine wanatukatia wanatuona manyani
Ni kerongese tanesko
wenyewe wana kauli yao inasema"tanesco tunayaangaza maisha yako"Toka mapema sana umefyekelewa mbali
Waka yaangaze maisha ya mama yao huko ikulu washenzi sanaπ wakate na huko au napo sio tanesco?
Ni kero
wenyewe wana kauli yao inasema"tanesco tunayaangaza maisha yako"
Labda kuyaangamizaπ wakate na huko au napo sio tanesco?
Ni kero
wenyewe wana kauli yao inasema"tanesco tunayaangaza maisha yako"