luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Iyo ina itwa karibu mkurugenzi 😀😀Kwa maeneo niliyopo umeme haukuwahi kukatika licha ya hali ya ukosekanaji wa umeme kwa muda unaondelea kwenye baadhi ya maeneo nchini.
Leo naamka umeme hakuna nikajua ni luku imeisha kumbe tayari washachukua umeme wao.
Hali ni tete kwa wanaotegemea umeme kwenye kuendesha biashara zao, sijui hii changamoto itadumu mpaka lini?
TANESCO TANESCO TANESCO
mbeyaWapi huko?
Si kateuliwa kwa ajili ya kutatua changamoto, ndio kama hiziIyo ina itwa karibu mkurugenzi 😀😀
Mbeya huko si mna umeme wenu wa maharage na maparachichi 😅mbeya
Tunawaangazia maisha yako 😂😂Tanesco.....tunawaangazia
Tunataka apewe Mwarabu wa DP World ya TANESCO! Ahahahahaha!!!Wapi huko?
Oyeee kazi iendelee
😂 poleni sana
Mwarabu si hamtaki apewe chochote?
Kwa maeneo niliyopo umeme haukuwahi kukatika licha ya hali ya ukosekanaji wa umeme kwa muda unaondelea kwenye baadhi ya maeneo nchini.
Leo naamka umeme hakuna nikajua ni luku imeisha kumbe tayari washachukua umeme wao.
Hali ni tete kwa wanaotegemea umeme kwenye kuendesha biashara zao, sijui hii changamoto itadumu mpaka lini?
TANESCO TANESCO TANESCO
Kwamba hao wanakuja na maji yao?Tunataka apewe Mwarabu wa DP World ya TANESCO! Ahahahahaha!!!
Miezi 6 ndio hali itakuwa hivyoKoteeeeee hata huku
Kwani Hayati Rais Magufuli alikuwa na Maji yake na aliondoka nayo?Kwamba hao wanakuja na maji yao?
Miezi 6 ndio hali itakuwa hivyo
Hapo itakuwa kati ya maeneo ya Bugando, Bugarika, Seoku Toure, Kapripoint nkNashukuru huku kwetu mwanza tuna wiki mbili sasa umeme haujakatika hadi nashangaa
Ndio la msingi la kujiulizaKwani Hayati Rais Magufuli alikuwa na Maji yake na aliondoka nayo?
Pole mkuu.Huku tayari nako wamefanya yao .nimevaa shati kazini kama limetafunwa na mbuzi
Poleni sana pande hizo tuna miezi 6 ya kuendelea kuishi na hali hii.Huku Wamekata Tangu saa 12 na nusu mpaka sasa dah Magufuliii wee baba umetuacha pagumu wewe baba wewe....Magufuli amkaa!
Jamaa wameamua kututesa,sijui NWO wamewaamuru waanze mateso Tanzania sawasawa na malengo yao!Maana nyumbani kwangu unakatika kila baada ya dakika kama kumi hivi,unawaka unazima,kama kuna watoto wanaochezea main switch vilee.......!Na bado
Bwawa lina mpasuko,tayari kipara nae kashatimkia wizara nyingine huko baada ya makorokocho kibao.Hali ni tete kwa hali hii hiyo treni ya umeme sijui kama itafanya kazi
Pole sana.Jamaa wameamua kututesa,sijui mateso kwa wanadamu Tanzania yameshaanza!Maana nyumbani kwangu unakatika kila baada ya dakika kama kumi hivi,unawaka unazima,kama kuna watoto wanaochezea main switch vilee.......!
Nadhani kuna mpango wa kuwafukarisha Watanzania, ili wawe watumwa wa Waarabu tena.