Huku TANESCO wameshakata vipi huko?

Huku TANESCO wameshakata vipi huko?

Kwa maeneo niliyopo umeme haukuwahi kukatika licha ya hali ya ukosekanaji wa umeme kwa muda unaondelea kwenye baadhi ya maeneo nchini.

Leo naamka umeme hakuna nikajua ni luku imeisha kumbe tayari washachukua umeme wao.
Hali ni tete kwa wanaotegemea umeme kwenye kuendesha biashara zao, sijui hii changamoto itadumu mpaka lini?

TANESCO TANESCO TANESCO
Umeme haukatwi, unapungua.
 
Serikali ndivyo ilivyosema, sasa wewe pinga ufungwe kama mchungaji wa Mbeya .
Hata kipindi cha Corona tuliambiwa ni changamoto ya kupumua na ukisema covid unapotea.
Sasa fuata isemalo serikali na si wewe utakavyo.
Si nchi ya demokrasia hii nafungwaje?
 
nawapongeza shirika la umeme chini ya jopo la watalamu kuendelea na juhudi za hali ya juu kumaliza tatizo la upungufu wa umeme nchini
 
IMG_20231003_193557.JPG
 
Back
Top Bottom