Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Hahahaha eti kiswahili kimeanzia zanzibar na zanzibar Hakuna makabila sasa iweje zaidi ya 80% ya msamiati wa kiswahili unatoka kwenye makabila ya kibantu?

Nyerere ndio aliefundisha kiswahili? Wakati mjerumani alikuta tayari kiswahili kipo na akatafsiri Bible kutoka kijerumani kwenda kiswahili huko Bagamoyo na Bible hiyo kwa wakati huo huo ikawa inatumika kila pembe ya nchi?
 
Kiswahili kipo toka miaka karne nyingi sana nyuma kimekua kikitumika Tanganyika nzima

Ila kimekua kikipanuka kimisamiati kila kilipokututana na lugha kutoka kwenye jamii mpya, wareno walivyokuja waliongeza msamiati, vile vile wahindi, waarabu, waingereza etc na ndio maana pia kwenye kiswahili kuna maneno beseni, penseli, televisheni, redio, suluhisho (solution), millioni, nambari, kilomita, propaganda, varanda, tochi etc

Nashangaa mbona kwa misamiati yote hii na mingine mingi kutoka English, kiswahili kisihusianishwe na kiingereza lakini kwa idadi almost the same ya msamiati kutoka kiarabu eti kiswahili ni kiarabu, Hakuna kitu kama hicho, kiswahili ni kibantu kitupu

Na Ukiwasikia washona wa Zimbabwe wakiongea kishona ndio utajua kiswahili ni kibantu kitupu sababu 40% ya kishona ni kiswahili

After all Kongo wamekua wakiongea kiswahili kwa miaka na mikaka hata kabla ya waarabu sababu kiswahili chao hata hakina Arabic borrowed words.
 
Wote ni wanaJF hakuna cha ziada lakini uongo au kupotosha hakusaidii, mimi ni mzaliwa wa huko na bahati nzuri naelewa jinsi ilivyokuwa/jina lilivyotokea, sasa huwa sikubali pale mtu anapotoa/kuongelea kitu isivyo sahihi.
Kuzaliwa huko hakukufanyi kila unachoongea kuhusu zanzibar kiwe ni kweli.
 
Wasioutaka Muungano ni waarabu walowezi na wengine wa kuja, Sidhani kama hawa wa zanzibar halisi wanaotafuna mishahara na marupurupu ya kodi zetu za bara watataka kukata hiyo mirija

Zanzibar imekopa zaidi ya trillion 2 kwa kipindi cha miaka mitano iliopita kutoka kwa mgongo wa bara, zanzibar haina uwezo wa kukopesheka hata billion 300

Maana yake zanzibar wakimessup na hizo trillion 2 sisi ndio tunalipa deni lote hilo of course sisi ndio tunawalipia

Wanatumia umeme wetu wa bure kabisa gharama zao tunalipishwa sisi, huu Muungano unatutafuna sisi kuliko kawaida.
 
kuna mmama fulani wa kizanzibari alikuja home akawa anasema “bwana ...kafiliwa mwanae” nilistuka mpaka badae nilipoambiwa anamaanisha “bwana...kafiwa mwanae”
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah
 
Zanzibar empire..?,,kumbe mnaayenu ya siri
 
We unahisi sisi watanzania tunafaidika nini na muungano?
 
Kwa assumption zangu naona kama wadada na wanawake wengi wa kizanzibar wanajiheshimu na wana misimamo kuliko hawa wanawake wetu wa bara
Chuoni niliwahi kusoma na wadada kadhaa wa kizanzibar hata wanaume pia walikua very discipline. Muda wa msikitini utawakuta msikitini no matter what, wadada hao walikua very humble, hawapendi makuu, ikitokea ukamgusa tu hata kwa bahati mbaya jua ni ugomvi, and walikua very selected upande wa marafiki

Lifestyle yao ilinivutia sana. Sasa sijajua kama wote wapo hivyo au vipi, mwenye kuwafahamu anijuze.
 

wazanzibar ni wapole sana mpaka wamepitiliza ndio maana baadhi yao wakija bara hutapeliwa
 
Sawa mjuzi.
 
Ungemtumia DM kama ulitaka post yako isiingiliwe na yeyote zaidi ya uliemquote.
Sababu ya kuweka hapa, ni kutokana na hata yeye alichoongelea kipo hapa. Ila kusema niliyemquote ni kwasababu wewe hutoelewa zaidi ya niliyemquote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…