Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Hahahaha eti kiswahili kimeanzia zanzibar na zanzibar Hakuna makabila sasa iweje zaidi ya 80% ya msamiati wa kiswahili unatoka kwenye makabila ya kibantu?Kiswahili kimeanzia Zanzibar,hata hichi ulichokiandika Kama sio Zanzibar usingeliandika
Nyerere alilazimisha Watanganyika lazima wajivunze Kiswahili baada ya kuipatia Tanganyika Uhuru
Zanzibar hakuna makabila, Wazanzibari halisi wamechanganyika damu na Warabu,Wahindi,Wasomali,Waafrika nk..
Lugha moja Tu Kiswahili..
Nyerere ndio aliefundisha kiswahili? Wakati mjerumani alikuta tayari kiswahili kipo na akatafsiri Bible kutoka kijerumani kwenda kiswahili huko Bagamoyo na Bible hiyo kwa wakati huo huo ikawa inatumika kila pembe ya nchi?