Zuchu katokea huko saivi anarudi huko kitovu wazi juzi nimemuona na miniskirt kabisa anawakosha roho.Kuna waliokuja zanzibar kutoka tanganyika na mini dresses [emoji156], ila kwa sasa wanavaa baibui na hijaabu juu. Masha Allah
Sina huo muda sababu nimekuwekea link kutoka kwa wasomi wa lugha wamefanya tafiti zao, mwenzako kashazisoma jibu analo akusimulieNarudia tena weka maneno ya kiswahili, weka misamiati ya lugha nyingine za kibantu tuangalie mfanano ya lugha ya kiarabu tuone katika hayo maneno yatashabihiana na lugha zipi kati ya kibantu na kiarabu.
[emoji41][emoji15]Jadili mada kwa staha na ukijiona unapoteza umakini, tulia kwanza.Hahahaha sorry nilifikiri ni huyo mwenzio anajiita Nylon
Hata usemeje, asilimia kubwa ya misamiati ya kwenye kiswahili inatokana na kiarabu na wala haiingiliani lugha za kibantu.Sina huo muda sababu nimekuwekea link kutoka kwa wasomi wa lugha wamefanya tafiti zao, mwenzako kashazisoma jibu analo akusimulie
Kama ndio hivyo watanzania wote tungeelewa kiarabu kama Tunavyoelewa kiswahiliHata usemeje, asilimia kubwa ya misamiati ya kwenye kiswahili inatokana na kiarabu na wala haiingiliani lugha za kibantu.
Achana na kuongelea Watanzania kwasababu, Watanganyika wote wana lugha zao za kiasili (mother tongue) na Kiswahili ni second selection. Tofauti na Wazanzibari. Ukubali ukatae ukweli ndio huu.Kama ndio hivyo watanzania wote tungeelewa kiarabu kama Tunavyoelewa kiswahili
Mimi ni Mswahili.. Kiswahili ni lugha niliyofundishwa na mama..'mother tongue'Kiswahili ni kibantu sababu moja kuu ni kwamba zaidi ya asilimia 90 ya msamiati wake ni kibantu
Baraza la Kiswahili Tanzania lenye mandatory na hii lugha na machapisho yote ya Utafiti kwa wasomi wa vyuo vikubwa duniani kama Oxford mpaka Mlimani wametoa conclusions kwamba kiswahili ni kibantu wewe ni nani unapinga?
Hahahahaha wanazingua hao, sehemu ikiwa na mwembe basi kishakua kituo iko unaskia 'em nipeleke pale mwembeniii'Mgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu, nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafuta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafuta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Hahahaha ni kifirio huko kwenu, huku tunajua ni kifutioMimi ni Mswahili.. Kiswahili ni lugha niliyofundishwa na mama..'mother tongue'
Hawa wanaojiita Baraza kuu la Kiswahili si ndio hawa waliokiita KICHONGEO jina la KIFIRIO??🙂
Hivi unajua English ni German 60% lakini hutosikia eti huu ujinga unasema hapa kuhusu kiswahiliAchana na kuongelea Watanzania kwasababu, Watanganyika wote wana lugha zao za kiasili (mother tongue) na Kiswahili ni second selection. Tofauti na Wazanzibari. Ukubali ukatae ukweli ndio huu.
Upekee wa kitu, mazingira kilipo na urahisi wa kutamkika ni rahisi sana kuwa ndio umaarufu wa eneo.Hahahahaha wanazingua hao, sehemu ikiwa na mwembe basi kishakua kituo iko unaskia 'em nipeleke pale mwembeniii'
Kukiwa na kona basi utaskia 'nishushe apo konaniii'
Arabic ni Hebrew??[emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Hivi unajua English ni German 60% lakini hutosikia eti huu ujinga unasema hapa kuhusu kiswahili
Arabic ni Hebrew 50%
Arabic is a Central Semitic language, closely related to Aramaic, Hebrew, Ugaritic and Phoenician.Arabic ni Hebrew??[emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Kifutio =rubberHahahaha ni kifirio huko kwenu, huku tunajua ni kifutio
Yeah kifutio kama rubber, KICHONGEO kinatafsiriwaje tena wakati tayari kinaeleweka
Neno kifutio na kichongeo yote ni maneno ya kibantu.Kifutio =rubber
KICHONGEO = Sharpener .. Kiswahili cha kwetu
KIFIRIO kwa Kiswahili cha baraza kuu la Kiswahili = Sharpener:-O
Sawa. Hata Kingoni na Kimatengo zina ufanano lakini haziko sawa.Arabic is a Central Semitic language, closely related to Aramaic, Hebrew, Ugaritic and Phoenician.
Yaani ni kwamba hata misamiati iliopo kwenye Arabic na yenyewe imetoka kwenye lugha nyingine tofauti, so point yako haina uzitoSawa. Hata Kingoni na Kimatengo zina ufanano lakini haziko sawa.
Point yangu haina uzito ila tambua miongoni mwa lugha ambayo misamiati yake inatumiwa na lugha nyingine basi ni kiarabu, kwani kimejitosheleza na hakikopi misamiati kutoka kwenye lugha nyingine, isipokuwa hizo lugha nyingine ndio zinakopa kwa Kiarabu.Yaani ni kwamba hata misamiati iliopo kwenye Arabic na yenyewe imetoka kwenye lugha nyingine tofauti, so point yako haina uzito
Sokoni waita markiti,