Kiswahili hakina sentence patterns kama kiarabu.Kama ulikuwa hujui Kiarabu kinasomwa kutoka kulia kwenda kushoto:
"الطالب يكتب على السبورة"
English inasomwa kutoka kulia kwenda kushoto:
"Student writes on the board"
Kiswahili kinasomwa kutoka kulia kwenda kushoto:
"Mwanafunzi anaandika kwenye ubao"
Mwanafunzi/ Students/ الطالب
Anaandika/writes/ يكتب
Kwenye ubao/ on the board/ على السبورة
Umenikumbusha kingine, kiarabu kina pronunciations tofauti na kiswahili, mnaongelea kwenye koromeo na puani tofauti kabisa na wa bantu, huo utaratibu hatuna.Hakuna maajabu ya Mussa wala chochote, hatuangalii muundo wa kimaandishi kinachoangaliwa ni tafsiri ya maneno. Hapa ndio ulipofika mwisho wa upeo wako wa kufikiria. Kama kiswahili ni kibantu, kumbuka kuna lugha za kibantu ambazo hata maneno yake huwezi kuyaandika kwa kutumia hicho kiswahili. Usione unajua bado sana. Tafuta elimu ndugu.
Kuanzia kushoto ama kulia sio tatizo. Linapokuja suala la tafsiri ndio tunapoangalia. Pia hakuna direct translation ya Koswahili kwa English lakini Kiarabu kwa Kiswahili kuna direct translation.Kiswahili hakina sentence patterns kama kiarabu.
Unajua maana ya direct translation? Aliekuambia haipo ya English nani?Kuanzia kushoto ama kulia sio tatizo. Linapokuja suala la tafsiri ndio tunapoangalia. Pia hakuna direct translation ya Koswahili kwa English lakini Kiarabu kwa Kiswahili kuna direct translation.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huku unakoelekea, nahisi mwishowe utasema "Waarabu wakiongea wanatoa upepo masikioni" [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Umenikumbusha kingine, kiarabu kina pronunciations tofauti na kiswahili, mnaongelea kwenye koromeo na puani tofauti kabisa na wa bantu, huo utaratibu hatuna.
kwa hiyo shaqiq na ukht ni kiswahili hicho?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huku unakoelekea, nahisi mwishowe utasema "Waarabu wakiongea wanatoa upepo masikioni" [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Tulianzia mbali sana, nakumbuka tulianzia na jina Ali/Ally. Mkazusha kwamba Wazanzibari wanaita Arii. Tukasema hao wanaoongea hivyo sio wazawa.
Lakini bado mnaendelea na kuzusha hoja zisizo na msingi na kadri muda unavyokwenda unazidi kuzusha mengine!!
Nakupa hii Task.
Nenda posta pale kwenye mnara wa Askari kaangalie direct Swahili iliyoandikwa kwa Kiarabu. Then ndio uje tena hapa uendelee kuzusha.
Maneno yote ya Kiswahili yanaandikika kwa Kiarabu direct. Mifano
Mama مم
Baba بب
Kaka كك
Dada دد
Na mengi mengineyo.
Je unaweza kuandika maneno hayo kwa lugha nyingine za kibantu!?
NB
Hakuna lugha yoyote ya kibantu inayomiliki Alphabet zake na inayoweza kuandikika labda ni kwa baadhi ya maneno tena machache tu. Nitafutie kwenye makabila yote ya Tanzania.
Tchao!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Baba anakwenda sokoniUnajua maana ya direct translation? Aliekuambia haipo ya English nani?
Ndio maana ukaambiwa kiswahili ni kiarabu, umeshindwa kujua maana yake kwa lugha zako za kibantu?!kwa hiyo shaqiq na ukht ni kiswahili hicho?
Baba kwa kiarabu ni alab (Hakuna hata mfano na Baba, bora hata Papa kwa French au hata Dad kwa English)Baba anakwenda sokoni
بب انكيند سكوني
Unaweza kuiandika hii?!
Hahahaha eti kaka ni shaqiq na Dada ni ukht halafu unasema hii ni lugha moja, kivipi sasa? Mbona mfanano wa hayo maneno ni usiku na mchana?Ndio maana ukaambiwa kiswahili ni kiarabu, umeshindwa kujua maana yake kwa lugha zako za kibantu?!
Hahaha mmenikumbusha mzanzibar mmoja nilisome naye Alevel.Mfereji,skuli na hanidhi pale anapotaka kukutukana hayo maneno alikuwa akiyapenda sana kutumia.Mgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu, nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafuta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafuta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Kwahiyo nikisema baba yangu ndio inakuwaje kwa kiarabu?Baba kwa kiarabu ni alab (Hakuna hata mfano na Baba, bora hata Papa kwa French au hata Dad kwa English)
Mama kwa kiarabu ni um (Hakuna hata uhusiano na Mama, bora hata Mum kwa English au hata mama kwa French)
Kiarabu sio kiswahili bro ni kibantu
Kiswahili ni Kiarabu. Kiswahili kinaandikika kwa dialect ya kiarabu bila wasi. Ila huwezi kukiandika kiswahili kwa dialect ya English hata siku moja na ndio maana nimekupa mfano ulio hai. Umekuwa na utopolo wako mi nakicheki tu na translator yako ya google. Ikiwa baba ni Alab, je nikisema baba yangu?Hahahaha eti kaka ni shaqiq na Dada ni ukht halafu unasema hii ni lugha moja, kivipi sasa? Mbona mfanano wa hayo maneno ni usiku na mchana?
Usiku na mchana kabisa, hicho ni kichinaKwahiyo nikisema baba yangu ndio inakuwaje kwa kiarabu?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377]
Dialect tena? 🤔Kiswahili ni Kiarabu. Kiswahili kinaandikika kwa dialect ya kiarabu bila wasi. Ila huwezi kukiandika kiswahili kwa dialect ya English hata siku moja na ndio maana nimekupa mfano ulio hai. Umekuwa na utopolo wako mi nakicheki tu na translator yako ya google. Ikiwa baba ni Alab, je nikisema baba yangu?
Lahaja. Kwani unafikiri sielewiDialect tena? [emoji848]
Unajua maana ya dialect kweli we mwarabu?
Baba kwa kiarabu ni Al-ab. Na nikisema baba yangu inakuwa Abiiy.Usiku na mchana kabisa, hicho ni kichina
In shona ni baba hivyo hivyo, wala huna haja ya kuongeza al na bado haiwi babaBaba kwa kiarabu ni Al-ab. Na nikisema baba yangu inakuwa Abiiy.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Maneno yote ya kiswahili yanaandikika kwa 100% kwa Arabic dialect bila kukwama hata neno moja wakati kwa English hayawezi kuandikika. Kswahili ni kiarabu shekhe!Dialect tena? [emoji848]
Unajua maana ya dialect kweli we mwarabu?