Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Hahah sawaswa hatujisifu nadhani katika east africa zanzibar ni number one, kw maqueen, ukitaka kuwaona nenda forodhani kuanzia saa 12 jioni (forandani ya znz)
 
Kuna siku Mkuu wa wilaya alikua kwenye mkutano akawambia masheha waliokutwa na tuhuma ya wizi " WANANCHI EEH!, KAMA MASHEHA HAWA WANA HATIA BASI IMETOKAA HIYOOOOOO!" msuto mtupu. Zenji hautakiwi kutumia nguvu kabisa
 
Hana kichaa. Kwa sababu kuna wanawake wazuri.

Half cast za kiarabu na kihindi na kikomoro.

Unguja nzima umetembea lini weye huachi kuzugaaaa. Mmmhhhhh.

Zanzibar kuna wanawake wazuri tena sana. Labda tu kwa sbb hawavai nusu uchii
Sielewi unalotetea.
Z'bar kiukweli hakuna pisi kali.
Iwe mkokotoni, iwe jambiani, iwe matemwe hakuna pisi kali.
Pengine labda uvizie wa kuja.
 
Mnabishana ujinga. Uzuri wa mwanamke ni nini? Kila mtu atakupa jibu lake.

Umetaja Matemwe umenifurahisha, napapenda Matemwe
 
Wabongo bana ...aliesema Kiswahili kimehamia bara wa hakukosea ...sisimizi/nyenyere bado kidogo niseme Nyerere!!
 
Sasa ukute alieanzisha huu uzi ni mtu kutoka Mbeya kakaribishwa tu bongo tena kakaribishwa na Mzanzibari ...sasa akisema marikiti na wewe unasema sokoni zote hizo ni lugha za kigeni leo ujifanye unajua Kiswahili kuliko Mzanzibari
 
Ongeeni yooote ila msisahau kwamba Zenji ndio nchi ya kwanza kuwa na televisheni ya rangi Afrika nzima
Yaani hapa wanadanganyana tu wao wanajiona wako right wakati hio Dar wanayoringia Wazanzibari ndo waliowajanjarusha ukivuka Ubungo kwenda mbele ni kiza na vichekesho na mara huyu mtoa post hapo Dar anapojiona kafika kakaribishwa na Mpemba
 
Sasa ukute alieanzisha huu uzi ni mtu kutoka Mbeya kakaribishwa tu bongo tena kakaribishwa na Mzanzibari ...sasa akisema marikiti na wewe unasema sokoni zote hizo ni lugha za kigeni leo ujifanye unajua Kiswahili kuliko Mzanzibari
Hapo na kajitahidi kuuweka uongo mwingi akijua labda hamna wazanzibari humu. Na wasojua ukweli hawajui kama jamaa kaja kuwafurahisha tu
 
Sielewi unalotetea.
Z'bar kiukweli hakuna pisi kali.
Iwe mkokotoni, iwe jambiani, iwe matemwe hakuna pisi kali.
Pengine labda uvizie wa kuja.
Hamna pisi kali kwa sababu hawatembei nusu uchi.

Watu waliochanganya makabila ya kiarabu na kicomoro na wahindi wataacha kuwa pisikali.

Ntahamaki saivi nipost picha yangu humu.
 
Hamna pisi kali kwa sababu hawatembei nusu uchi.

Watu waliochanganya makabila ya kiarabu na kicomoro na wahindi wataacha kuwa pisikali.

Ntahamaki saivi nipost picha yangu humu.
Ntahamaki saivi nipost picha yangu humu...!!!uuwiii hapanaaa....nitunzieee
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…