Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Hana kichaa. Kwa sababu kuna wanawake wazuri.

Half cast za kiarabu na kihindi na kikomoro.

Unguja nzima umetembea lini weye huachi kuzugaaaa. Mmmhhhhh.

Zanzibar kuna wanawake wazuri tena sana. Labda tu kwa sbb hawavai nusu uchii
Hawaachi kukimbilia huku
 
Jamani mtavunja mbavu zetu huku
 
Pole sana nenda pale CCM bar utulize mawazo
 
[emoji23] nimecheka sana mkuu. Mengine niliwahi kusikia, mengine ndio nimesikia kwako. Ningeletewa maji ya mferejini mie singekunywa eti.
 
Kwani uko bara wote wamebarikiwa hayo machura!!!?

Anyway mso hili ana lile. Ndio maana Mungu Akaumba wa tofauti tofauti.

Wengine wanapenda sura, rangi na nywele za kiarabu
Hemu nitumie Mimi inbox nikuone mimi Mzanzibari mwenzio
 
Umbea wa namna hii una matatizo kwa mtu mmoja mmoja uliye mgeni lakini una manufaa makubwaa sana kwa nchi kwa ujumla wake. Nchi inakuwa salama sana na haiwezi kuingiliwa na wageni hata siku moja.
 
Umbea wa namna hii una matatizo kwa mtu mmoja mmoja uliye mgeni lakini una manufaa makubwaa sana kwa nchi kwa ujumla wake. Nchi inakuwa salama sana na haiwezi kuingiliwa na wageni hata siku moja.
Kabisa
 
Ukisikia "konda shusha kabla ya kupinda"maana yake shusha kabla ya kuzunguka roundabout,
Ukisikia baada ya kupinda,maana yake shusha baada ya kuipita roundabout.
 
Ukisikia "konda shusha kabla ya kupinda"maana yake shusha kabla ya kuzunguka roundabout,
Ukisikia baada ya kupinda,maana yake shusha baada ya kuipita roundabout.
Wanasema TIA HAPO IKIPINDA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…