Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Super brand namba moja Tanzania JF. Wengine wameufyata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uthibitisho mwingine jinsi Tanzania na utawala wa sasa unavyozingatia na kutenda haki. Isingekuwa hivyo asingerudi hapa jukwaani na kuweka tabasamu hilo.Kuna mwenye hamu na CCM?! Mwanakijiji, Pascal Mayala tunatumia jukwaa moja huku mkiunga mkono watesi
Ndio maana kwenye harakati usimuamini mtu, baki wewe na nafsi yako!Shukran sana.
Team Lumumba ikiongozwa na Mwanakijiji
Mnajisikiaje??
Amina, Mungu ametenda, ila tusiogope kuendeleza utashi wetu tulio pewa na Mungu maana katupa kujipambanua wenyenye, ndo maana tuko na kiumbe kiitwacho Shetani kutoka jina la (LUCIFER) Mungu mwana-demokrasia namba 1 viva viva mapambano yanaendele. WEMA UTASHINDA UBAYA. USIKU MWEMA WADAU.Sijaelewa.
Ngoja nisome tena.