Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Sasa wewe unaongea kinyume, wakitiwa hatiani ndo cha kushangaza zaidi. Kuachiwa huru siyo cha kushangaza. Kumbuka Yona na Mkapa ndo walijiuzia mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira wenye thamani ya Dola milion 4 kwa sh milion 7! Kwasasa ni kama dola elfu 3.chakushangaza zaidi watachiwa huru..