Hukumu ya Mdude Nyagali ni leo 14|06|2021

mbona hapo kwenye hiyo picha kavaa kadet kasimama kama hana malinda🤔
 
Kuna mtu huko nchi za wenzetu, kamchapa Rais kofi. Adhabu yake kafungwa miezi 4. Huku kwetu Mdude kakaa lumande muda gani??? [emoji848][emoji848][emoji848]
huu ndio uhuru tuutakao,yaani unamchapa mbowe kibao,and no body cares.
 
We naye huna hata akili...hapo kuna neno gani baya unalooona km siyo la heshima!?? Kukataa kuitwa wanyonge au au kusema mnyonge ni bibi yake!?? Nyie wajinga ndo mlimfanya mwendazake ajione amekamilika kila kitu!
hilo sio kosa lililomfunga mdude usikaze fuvu.
 
We naye huna hata akili...hapo kuna neno gani baya unalooona km siyo la heshima!?? Kukataa kuitwa wanyonge au au kusema mnyonge ni bibi yake!?? Nyie wajinga ndo mlimfanya mwendazake ajione amekamilika kila kitu!
Ujinga bibi yako!
 
Hiyo mimba uliyodungwa na mwendazake itakutoa roho kwa siku lazima umtaje mara 62!

Mdude alikamatwa na cocaine za mbowe akizisambaza mikoa ya nyanda za juu kusini
Eti cocaine za Mbowe, Huna haya wewe. Ukamalize dozi ulizokimbia Mirembe. Una ushirika na Makonda aliyewabambikia watu kesi za madawa ya kulevya.
 
mjinga mmoja

Sent from my Infinix X682B using JamiiForums mobile app
 
We unaona kuwa alitakiwa afanyaje? kwamba amkosowe Mwendazake au asiende kwenye kampeni za Mwendazake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…