Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mwenyezi Mungu amfanyie WepesiHii ndio Taarifa kutoka Mahakama Kuu kanda ya Mbeya iliyosambazwa leo...
ni kwasababu una roho ya kishetani kama ya jiwe tuSijui kwa nini nashindwa kumuonea huruma. Anyway.........
umetoa mfano halisi haswaKuzidi ule wa mulaga aka musiba
Mimi niliguswa nilikuwa nagombea nafasi ya uenyekiti wa chama cha walimu Tanzania katika moja ya wilaya hapa Tanzania. Nilichokutana na nacho ni aibu kidogo tu yanikute ya mdude. Kama nisingetumia akili yangelinikuta ya mdude.Unyama wa jiwe ni nani haukumgusa ?