Hukumu ya Mdude Nyagali ni tarehe 14/6/2021

Hukumu ya Mdude Nyagali ni tarehe 14/6/2021

Hiyo ya Mwenyekiti wa Halmashauri Tarime tukiiweka hapa utakimbia , wamemtengenezea kishamba sana kwa kuhoji upotevu wa hela , tena unyamaze kabisa , nakusanya nyaraka halafu naiweka hapa
Wewe nae kumbe ni kilaza namna hii? Unaweza tetea hadi mauaji duuu?
 
Hiyo ya Mwenyekiti wa Halmashauri Tarime tukiiweka hapa utakimbia , wamemtengenezea kishamba sana kwa kuhoji upotevu wa hela , tena unyamaze kabisa , nakusanya nyaraka halafu naiweka hapa
huna lolote weka tuone hizo nyaraka za kugushi kijana wenu anakula mvua za kutosha iwe fundisho kwa vijana wengine muwe mnaona aibu mbona wewe kila siku unaitetea chadema pamoja na kuwa ni genge la wahuni mbona hujawahi kutukana matusi kama aliyokuwa anatuka na mdude mwacheni afungwe atatoka tu miaka 30 siyo mingi
 
ni kwasababu una roho ya kishetani kama ya jiwe tu
Kama anajihusisha na Madawa ya kulevya hata mm siwezi kumwonea huruma kwani wanaoharibika kimaisha na kufa ni wengi kwa madawa hayo. YEYE ATAKUWA HANA HURUMA SASA AHURUMIWE VIPI? Kitu muhimu uhahidi uwe wa kweli IKIHUSISHA DNA NA ALAMA ZA VIDOLE KAMA ULIKUWA NI MZIGO WAKE BILA SHAKA ATAKUWA AMEUPOKEA NA KUFUNGUA NA KUONJA KAMA HUO UGORO UKO SAWA.
 
Noja nikupe namba ya mama yako ujue kuwa ninaye kwa kwenda mbele
hainihusu mimi hiyo ni uamuzi wako wewe na yeye kwani hakuna mababa vichaa ? kuna mashoiga kama wewe nao ni mababa pia
 
Sidhani kama mdude anayajua madawa ya kulevya
Ukweli ni kuwa tumuombapo Mungu atende haki bila shaka huwa ni haki nyoofu.

Haki siku zote ina pande mbili. Furaha na huzuni. Na zote tuzikubali.

Kama atatiwa hatiani kwa haki, tukubali pia. Akitoka kwa haki tushangilie.
 
Waandishi wa habari wa ndani na nje ya nchi waanza kufurika Mbeya
 
Mpigania uhuru au alikuwa mtukanaji tu yule, kama atachomoka ajipange upya hizo harakati za kutukana sio wana harakati wenzie hawako hivyo harakati za kukashifu na kutukana mkuu wa nchi ni ushamba, Harakati lazima uabgalie shetia za nchi yako zikoje otherswise kuwa mropokaji tu halafu akajidai mwana harakati atagongwa nyundo za kutosha.
 
Wote tutaenda uko,wewe nawe utakufa kamwe hautaiona 2100

Tusitishane:

Vifo viko humu:

1. Uzee (wa miaka ma Mia wako hapa)
2. Vya kusababishwa na kusababishiwa (wa viroba wako hapa)
3. Mapenzi ya Mungu (vya kina Nyerere viko hapa).
4. Vya kijinga (kudharau corona vipo hapa).

#1 na #3 havina shida ila #2 na #4 au nasema uongo ndugu zangu?

 
Wakuu mimi siko upande wowote wa shilingi,,
Ila magufuli yule mtu hapana kwa kweli.
Madawa ya kulevya na mdude aisee mungu amuweke mahala anapostahili huko aliko.
Hakuna kitu hata vitabu vyote vya dini vinatuhimiza kama kutenda haki Mungu akikupa mamlaka ya kuongoza wenzio.
 
LEO NDIYO HAMTAAMINI MDUDE ANAKULA MVUA ZA KUTOSHA ILI IQWE FUNDISHO KWA VIJANA WENGINE WANAOSHABIKIA SIASA ZA MAJI TAKA ZA CHADEMA KUSHANGILIA MAOVU HALAFU WANAKUACHA PEKEYAKO
 
Tusitishane:

Vifo viko humu:

1. Uzee (wa miaka ma Mia wako hapa)
2. Vya kusababishwa na kusababishiwa (wa viroba wako hapa)
3. Mapenzi ya Mungu (vya kina Nyerere viko hapa).
4. Vya kijinga (kudharau corona vipo hapa).

#1 na #3 havina shida ila #2 na #4 au nasema uongo ndugu zangu?

labda kama 2,4 ni vifo zaidi.
 
Back
Top Bottom