nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Wewe nae kumbe ni kilaza namna hii? Unaweza tetea hadi mauaji duuu?Hiyo ya Mwenyekiti wa Halmashauri Tarime tukiiweka hapa utakimbia , wamemtengenezea kishamba sana kwa kuhoji upotevu wa hela , tena unyamaze kabisa , nakusanya nyaraka halafu naiweka hapa
Hujui chochote , nyamazaWewe nae kumbe ni kilaza namna hii? Unaweza tetea hadi mauaji duuu?
HAWALA NDIYOI KITU GANI TENA MBONA UNACHEKESHA KAMA MWANAMKE ANAWEZA KUWA NA HAWARAUjue mama yako ni hawala yangu. Unamtukana baba yako wa kufikia.
huna lolote weka tuone hizo nyaraka za kugushi kijana wenu anakula mvua za kutosha iwe fundisho kwa vijana wengine muwe mnaona aibu mbona wewe kila siku unaitetea chadema pamoja na kuwa ni genge la wahuni mbona hujawahi kutukana matusi kama aliyokuwa anatuka na mdude mwacheni afungwe atatoka tu miaka 30 siyo mingiHiyo ya Mwenyekiti wa Halmashauri Tarime tukiiweka hapa utakimbia , wamemtengenezea kishamba sana kwa kuhoji upotevu wa hela , tena unyamaze kabisa , nakusanya nyaraka halafu naiweka hapa
Kama anajihusisha na Madawa ya kulevya hata mm siwezi kumwonea huruma kwani wanaoharibika kimaisha na kufa ni wengi kwa madawa hayo. YEYE ATAKUWA HANA HURUMA SASA AHURUMIWE VIPI? Kitu muhimu uhahidi uwe wa kweli IKIHUSISHA DNA NA ALAMA ZA VIDOLE KAMA ULIKUWA NI MZIGO WAKE BILA SHAKA ATAKUWA AMEUPOKEA NA KUFUNGUA NA KUONJA KAMA HUO UGORO UKO SAWA.ni kwasababu una roho ya kishetani kama ya jiwe tu
Wewe kalai. Unayejua tuambie kwa undani basiHujui chochote , nyamaza
kuna uzi unakuja kuhusu hiloWewe kalai. Unayejua tuambie kwa undani basi
mbwa porini msundu meru!Wacha aje ak...fle wewe mtumwa wa chaga development manifesto
HAWALA NDIYOI KITU GANI TENA MBONA UNACHEKESHA KAMA MWANAMKE ANAWEZA KUWA NA HAWARA
hainihusu mimi hiyo ni uamuzi wako wewe na yeye kwani hakuna mababa vichaa ? kuna mashoiga kama wewe nao ni mababa piaNoja nikupe namba ya mama yako ujue kuwa ninaye kwa kwenda mbele
Ukweli ni kuwa tumuombapo Mungu atende haki bila shaka huwa ni haki nyoofu.
Haki siku zote ina pande mbili. Furaha na huzuni. Na zote tuzikubali.
Kama atatiwa hatiani kwa haki, tukubali pia. Akitoka kwa haki tushangilie.
ataachaje kuyajuwa wakati alikuwa nayo ndani?Sidhani kama mdude anayajua madawa ya kulevya
tema mate chini kabla hujateketezwa na Munguataachaje kuyajuwa wakati alikuwa nayo ndani?
Hata ibilisi huwa na WafuasiSijui kwa nini nashindwa kumuonea huruma. Anyway.
Wote tutaenda uko,wewe nawe utakufa kamwe hautaiona 2100
labda kama 2,4 ni vifo zaidi.Tusitishane:
Vifo viko humu:
1. Uzee (wa miaka ma Mia wako hapa)
2. Vya kusababishwa na kusababishiwa (wa viroba wako hapa)
3. Mapenzi ya Mungu (vya kina Nyerere viko hapa).
4. Vya kijinga (kudharau corona vipo hapa).
#1 na #3 havina shida ila #2 na #4 au nasema uongo ndugu zangu?
Nadharia iliyoshiba kuhusu vifo na wendazao
Mabibi na mabwana zimekuwapo nadharia nyingi na zingine nyepesi nyepesi kuhusiana na vifo na wendazao. Mtumishi huyu wa Mungu katika udadavuzi wake kwa hakika ana hoja za msingi: Kwamba pana vifo vya aina 4: 1. Uzee (wa miaka ma Mia wako hapa) 2. Vya kusababishwa na kusababishiwa (wa kwenye...www.jamiiforums.com