Mimi nilimuuliza huyo ambaye analinginisha kitu na mtu, akili yake japo amesoma Lakin anashindwa kuelewa mambo mepesi kama haya kweli! Hii western education bado tatizo kwetuNlitaka ujiongeze sasa...programmer ni nani... kama wewe ndio program.
Mkuu nasikitika kusema mkuu ulienda shule kukalili sio kuelimikasasa usinipangie namna ya kueleza, kama ungejua nini Maana ya DNA, na inakazi gani,hata usingeuliza unachokisema tutakesha hapa.
Wala!!! Yuko sahihi kabisa...hata gari unaweza ukalilinganisha na binadam. Nistake kuleta falsafa na theolojia hapa...ila.Mimi nilimuuliza huyo ambaye analinginisha kitu na mtu, akili yake japo amesoma Lakin anashindwa kuelewa mambo mepesi kama haya kweli! Hii western education bado tatizo kwetu
Mkuu human brain is exceptionally hii haitaji mjadara huu ndio uhalisia huwezi ukafananisha na computerWala!!! Yuko sahihi kabisa...hata gari unaweza ukalilinganisha na binadam. Nistake kuleta falsafa na theolojia hapa...ila.
Programmer katengeneza program iwe na mfano au function kama za programmer, kwa iyo ile program ikioperate. Operation zake au product yake itatoka kwa formula iyo iyo...muonekano au functionality zitakuwa tofauti.
Mfano, muundo wa solar system una fanana na muundo wa atom moja. Japo functionality ni tofauti.
Programmer anaeza akawa mnoma sana...ila akawa na kompyuta ya kiwango cha chini. Unachozungumzia ni "mtu"....ila hardware ya "brain" inaweza jadiliwaMkuu human brain is exceptionally hii haitaji mjadara huu ndio uhalisia huwezi ukafananisha na computer
Computer is programming to do a certain limited work according to the software installed inProgrammer anaeza akawa mnoma sana...ila akawa na kompyuta ya kiwango cha chini. Unachozungumzia ni "mtu"....ila hardware ya "brain" inaweza jadiliwa
Mzee baba your brain haiwezi fanya chochote kama hujaipa commands. It does limited work according to your intentions. Period. Ukitaka upumue tu, utapumua...afu baas.Computer is programming to do a certain limited work according to the software installed in
You are not command the brain, it only itself mkuuMzee baba your brain haiwezi fanya chochote kama hujaipa commands. It does limited work according to your intentions. Period. Ukitaka upumue tu, utapumua...afu baas.
Sijui kwanini wanashindwa kukuelewa yani.You are not command the brain, it only itself mkuu
Kuna tofauti ya ubongo....na akili. Sawa mkuu!!! Wewe unazungumzia akili.You are not command the brain, it only itself mkuu
Mkuu hiyo akili iko sehemu ya ubongo so huwez kuitoa sasa sijui wewe unataka kuzungumza niniKuna tofauti ya ubongo....na akili. Sawa mkuu!!! Wewe unazungumzia akili.
Wengine huku wanazungumzia ubongo.
Computer sifa kubwa haiwezi kufanya kitu au kazi ambayo haiko programmed na majibu yake yako based na a logarithms calculation so haiwezi kureason wala kufanya decision yoyote nje ya hapo
Nani kakudanganya? Ni sawa na kusema clouds fm iko ndani ya radio yako nyumbani kwako. Au watu kwenye tv wako ndani ya tv.Mkuu hiyo akili iko sehemu ya ubongo so huwez kuitoa sasa sijui wewe unataka kuzungumza nini
Tenganisha akili na ubongo sasaNani kakudanganya? Ni sawa na kusema clouds fm iko ndani ya radio yako nyumbani kwako. Au watu kwenye tv wako ndani ya tv.
Akili ni kama pumzi, haina sehemu maalum ilipo...huwezi kuishika au kuiona ukasema akili yangu hii hapa.Tenganisha akili na ubongo sasa
Umempiga kwenye mshono,Akili ni kama pumzi, haina sehemu maalum ilipo...huwezi kuishika au kuiona ukasema akili yangu hii hapa.
Ila
pua...inareceive pumzi
Macho...yanareceive mwanga
Masikio...yanareceive sauti
Ubongo....unareceive mawazo (impulse za akili)
Umeona kila kitu hapo kinachoonekana na kushikika kinapata maelekezo kutoka kwa kisichoonekana.
Nikienda sasa kwenye mada.
Kompyuta....inareceive data.
Data huwezi kuiona wala kuishika...wala kusema inakaa wapi exactly kwenye hardware. Yani ipo tu.
watu menye kufiri vizuri,na wanaojua mambo hawana haja ya kubishana, wangeshusha nondo zao kama hapa, huwa hawana porojo kama hizo,Mkuu nasikitika kusema mkuu ulienda shule kukalili sio kuelimika
🤣🤣🤣 nakubali diplomasia yako.watu menye kufiri vizuri,na wanaojua mambo hawana haja ya kubishana, wangeshusha nondo zao kama hapa, huwa hawana porojo kama hizo,
weka point.
nakubaliana na wewe bongo zetu zinauwezo sana, na sehemu iliyobaki ambayo hajaijua bado kuhusu ubongo ni kubwa kuliko tuliopata kuijua, but kuna some scope wanascience wamejaribu kuzipambanisha na super computers.Bado ubongo wa Binadamu ni juu sana zaidi ya computer kiuwezo.
Kuna kipindi niliwahi kufanya maamuzi mawili kwa wakati mmoja kwa kasi kuliko hata mwanga unavyosafiri.
Nikiwa nimemuazima Rafiki yangu pikipiki nijifunze kuendesha, alinipatia kiroho safi, lakini muda huo ananikabidhi niliichukua kimihemuko bila kujua breki ni ipi sababu alipokaribia kusimama niliona aliachia klachi pikipiki ilisimama nami nilijua hiyo hiyo ndiyo breki.
Nilienda umbali wa 4 KM nikiachia klachi na pikipiki kupunguza mwendo nikijidanganya akilini kuwa hiyo ndiyo breki yake pikipiki hadi nilipogeuza na kurudi home.
Niliporudi salama nilisifiwa na marafiki kuwa nami ni miongoni mwao madereva wazuri wanaojua kuendesha pikipiki, hatimaye kichwa kikajaa sifa nyingi kupita kiasi na nilivuta mafuta ya kutosha kwenye pikipiki kuingia ndani ya fensi umbali wa mita 15.
Baada ya kuvuta sana mafuta na kuachia pikipiki iende na iliondoka kwa kasi kubwa sana, mbele kulikuwa na fensi ya sing'enge na nguzo ya umeme, cha ajabu akili ilinipatia ufumbuzi mara 2 baada ya kuona kila nilipoachia klachi pikipiki isimame nikidhani ni breki lakini haikusimama.
Akili ya kwanza ilikuwa kulazimisha kupita na pikipiki 1 kwa 1 kwenye fensi ila akili wakati huo huo hiyo akili ilinikataza kuwa nitaweza kufa, basi nibadili maamuzi.
Akili ya pili iliniambia nikiona bado naenda mbele nilazimishe kuilaza pikipiki iserereke huenda ikaacha kuendelea na mwendo wa kasi iliyokuwa nayo ila akili hiyo hiyo ilinikatalia kuwa naweza kuvunjika miguu na kuchubuka vibaya sana, hatimaye akili ya pili ndiyo niliyofanya nayo maamuzi na kupona ingawa moshi wa pikipiki uliniunguza mkono baada ya kufanikiwa kulala na pikipiki chini huku matairi yakiwa yanazunguk, nikizidi kusifiwa na kujikuta huo moshi unaniunguza mkono wa kushoto lakini nilitoka mzima kabisa.
MASWALI:
Muda ulikuwa ni sekunde zisizozidi 2, lakini ubongo ulifanikiwa vipi kuchakata hizo akili zote 2 kwa wakati mmoja, kujadili na kufanya maamuzi sahihi kwa muda mchache tu huo wa sekunde 2?