Upo sahih, mfano mtu mkimya kama amekosea/hapendi kitu fulani, ukiwa unamweleza anapiga kimya, kama hujui hulka zao utasema ni kiburi bt kumbe hawezi kujieleza na ukimya wake huo ni ishara ya samahani.ni kwel lakin zipo hali fulani ukimya unaweza kuendana na kiburi japo sio kila ukimya ni kiburi.
Unajua mi ni mtu wa mishangazi tuu...Siku hizi umeanza kua na viakili vya kuokoteza bwanamdogo, hizi busara unazitoa wapi?
Mkuu kuwa mnyenyekevuUnyenyekevu ni unafiki na ni uoga.
Humblenesss is pretends?Lakini mnyenyekevu hatashtuliwa hata wakati ambako haoni .. humbleness is pretends.
You are the one make me to be here madamSawa sawa
You are the one make me to be here madam
πππMungu akupe maisha marefu...Appreciate ππ
πππMungu akupe maisha marefu...