Humbleness is pretend

Humbleness is pretend

Mwl.RCT daah umewaza nini mkuu naona huu mjadala unafanyika in live way bana so poa poaaaa...

Dr mambo jambo said mambo jambo πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Mkuu pia unyenyekevu unaendana na ukimya ila pia ukimya una uhusiano wa damu na kiburi , kuna namna unyenyekevu una uhusiano wa kindugu na kiburi japo mama mmoja ila baba tofauti 😁😁
Kuna miamba unaikuta ni minyenyekevu kumbe deep down ni.kiburi au
 
Dah Mwl RCT..
Mtaalam wa AI hebu niambie hapa umefanyaje kufanya Summery ya Hii kitu Dah Umenishngaza sana 🀣🀣
Hebu niambie bhna..

Maana wewe ndo mataalam wa Hizi technology sisi Tunashangaa tu nimependa Hii summary aisee
Ahahahaha yaan hii naiandalia video alafu na embed hizi sauti ahahahahahah hapo ndo tunakutana mtaalamu wa AI na wa multimedia
 
Mkuu pia unyenyekevu unaendana na ukimya ila pia ukimya una uhusiano wa damu na kiburi , kuna namna unyenyekevu una uhusiano wa kindugu na kiburi japo mama mmoja ila baba tofauti 😁😁
Ndo maana Kwenye post Namba 2 Nilisema Hata Mpumbavu akinyenyekea na Kunyamaza Huonekana ana Busara 🀣🀣

Maana Yake Usipokuwa Makini utashindwa Kutofautisha kati ya Unyenyekevu na Ukimya..🀣🀣
Haya mambo yako.Tricky sana
 
Ndo maana Kwenye post Namba 2 Nilisema Hata Mpumbavu akinyenyekea na Kunyamaza Huonekana ana Busara 🀣🀣

Maana Yake Usipokuwa Makini utashindwa Kutofautisha kati ya Unyenyekevu na Ukimya..🀣🀣
Haya mambo yako.Tricky sana
Aaaaah πŸ€—πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ ndo mana nikasema unyenyekevu ni kuigiza et
 
K
Ndo maana Kwenye post Namba 2 Nilisema Hata Mpumbavu akinyenyekea na Kunyamaza Huonekana ana Busara 🀣🀣

Maana Yake Usipokuwa Makini utashindwa Kutofautisha kati ya Unyenyekevu na Ukimya..🀣🀣
Haya mambo yako.Tricky sana
Kabisa mkuu, Halafu pia unyenyekevu ni silaha kuu ya mtu mnafki😁
 
Ndo Huo ndo Utajiri mkubwa sana..
Sisi Kipindi tuko vijana Tukikuwa tukifundishwa Kuwa Raha ya Dunia ina mambo matatu!
Ya kwanza ni Afya
Ya Pili Uhai
Ya tatu Bahati ya Kupendwa na Watu..

Na huo Ndo utajiri mkubwa Duniani
Kuna somo naomba uje unifundishe ukipata nafasi kuhusu Ego kuna mahali nliona umeielezea, nataka kujua mimi kinachonisumbua ni ego au ni nini, ukipata nafasi naomba unicheki ahsante.
 
Back
Top Bottom