cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wee em sema kweli?Mpango ameamua kujitenga na watenda maovu.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee em sema kweli?Mpango ameamua kujitenga na watenda maovu.
Kweli kabisa na msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Em apia!Kweli kabisa na msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Naapa kwa jina langu.
Chaka bado lipo; kule kusema jamaa ameshakata kamba!Makonda alipewa sumu Tena na mboGa pale Arusha hii haina Kificho naye alisema kwamba amepewa sumu Mara Tatu ! So Hakika Chaka hakuna pale
Mpango anakuwa hana mpango wowote qwishnei koko baba.Kwahiyo Pole Pole anachukua nafasi ya Nchimbi, na Nchimbi anajiandaa kuchukua nafasi ya Mpango?
Mpango nae ana mpango upi? Uwiiiiiih
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Nielewe ninapokwambia mleta mada ni moja ya project ya Bahima Empire iliyopo ndani ya mifumo yetu kabisa.karibia nusu ya watanzania wote wanaukaribu na rwanda,burundi na uganda, wanaoitwa wanyamwezi sehemu kubwa walitokea uganda/rwanda ni museveni type, kagera kama yote bariadi na shy ndiyo usiseme kwa taarifa yako tu hata Mwalimu Nyerere asili yake ilikuwa ni hilo eneo na yeye ni hiyo unayoiita bahima empire ? hivyo sielewi unachomaanisha, we all came from somewhere, usisahau tanzagiza haiku exist kabla ya western Christians kuja hivyo hakuna mwenye hati miliki na wote waishio ndani ya hii mipaka wanastahili kuwepo …
Kwamba Kila mwenye mdomo unaotoa sauti kubwa anafaa kuwa Rais 😂😂Polepole has the potential to be a good president. Namkubali.
Huyo mtu wako ni mjamaa hawezi endana na falsafa za Mama hatochukua mda mrefuMheshimiwa Balozi nikipata nauli nakuja kukupa hi hapo ubalozini,
Andaa Suti kabisa tusalimiane ukiwa tumevaa suti , ingae Kama ya Makatibu katibu wakuu fulan hivi
Aisee wanajukwaa Karibuni Moscow tupate vodka
Britanicca
Nielewe ninapokwambia mleta mada ni moja ya project ya Bahima Empire iliyopo ndani ya mifumo yetu kabisa.
Siongelei kufanana kwa makabila hapa.
Ishu ilithibitishwa na kifo kabisa watu wakawa wanangoja taarifa tu......sumu kulishwa isingekua shida.....ila watu walihakikisha hadi umautiMakonda alipewa sumu Tena na mboGa pale Arusha hii haina Kificho naye alisema kwamba amepewa sumu Mara Tatu ! So Hakika Chaka hakuna pale
Kwa sasa atawahitaji wote tu.....wajamaa na hao wengineHuyo mtu wako ni mjamaa hawezi endana na falsafa za Mama hatochukua mda mrefu
Nashangaa!Si tuliaminishwa kuwa watu wote wa Magufuli ni wabaya na hawana nafasi ktk serikali hii?
Mnufaika ni Samia ila hao wengine labda watanufaika Kwa vyeo na sio Kisiasa maana watakuwa wanabukuzwa na kuhubiri wasiyoyapendaKwa sasa atawahitaji wote tu.....wajamaa na hao wengine
Hv mnafikiri kila mtu anaweza kuwa Rais? Tuwe serious!Polepole has the potential to be a good president. Namkubali.
Upepo unaenda kua tofauti........hakuna wa kuburuzwa safari hii uchumi kama mchina tu kibepari ila siasa bado za kijamaaMnufaika ni Samia ila hao wengine labda watanufaika Kwa vyeo na sio Kisiasa maana watakuwa wanabukuzwa na kuhubiri wasiyoyapenda
Kama uchumi ni WA kibepari sawa tuu huko kwenye siasa hata mkiuana to me doesn't matter nachotaka uchumi uwe unaleta faida.Upepo unaenda kua tofauti........hakuna wa kuburuzwa safari hii uchumi kama mchina tu kibepari ila siasa bado za kijamaa
Mpango ni mpango wa Mungu.Kwahiyo Pole Pole anachukua nafasi ya Nchimbi, na Nchimbi anajiandaa kuchukua nafasi ya Mpango?
Mpango nae ana mpango upi? Uwiiiiiih
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ndo hivyo mambo yataenda kama kwa mchina au Urusi watu wamejifunza,,,,njia za uchumi zitabadilika ila siasa itabaki vilevileKama uchumi ni WA kibepari sawa tuu huko kwenye siasa hata mkiuana to me doesn't matter nachotaka uchumi uwe unaleta faida.
Msilete ujamaa kwenye Uchumi,ujaa wenu wekeni kwenye siasa muwe mnafariji na kuwapa matumaini maskini wasiojielewa.