Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongea ushuzi mkubwaAnataka kugain populate aunde chama chake.Ule utawala wa vichaa baada ya kufa kilanja wao wamepoteana hawa kenge
Ukomo wa kijana ni umri gani?Ana ujana gani?!!!
Prove hoja yakoSio kweli. Tanzania ina rais zaidi ya mmoja. Mmoja kikaragosi na mwingine wa ukweli.
Bandari ya Bagamoyo ni hoja yangu ya kwanza.Prove hoja yako
Hata mwalimu wangu dr.bana aliaalikwa na media kila mara lakini hakuwa anaongea cha maana zaidi ya kusifia na kuabudu.Chadema wapuuzi Sana mtu kila siku anaalikwa na media we unasema ameishiwa ......hawa jamaa watuharibia Sana siasa za upinzani katika nchi hii
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Rais yupi Kati yao anayepewa "daily briefings"?!!!Sio kweli. Tanzania ina rais zaidi ya mmoja. Mmoja kikaragosi na mwingine wa ukweli.
Polepole mwenyewe hawezi kazi bali porojo ,majungu ,kununua wapinzani....hadaa kuwasaidia wale "wabunge wa viti maalum"......Wanaompinga Polepole ndo Urojo gang wenyewe ni watu wavivu wasiopenda kazi Bali wapiga porojo majungu fitina wachawi wauza madawa ya kulevya wezi ndo wanaompinga polepole.
Anayepewa daily briefing ni yule kikaragosi ila maamuzi mpaka aagizwe na yule mwingine.Rais yupi Kati yao anayepewa "daily briefings"?!!!
Ndio mnajua leo hilo, wakati anawanunua wapinzani si ndio mlikuwa mnadai ccm inakubalika , mara ghafla mmepiga U turn!? Acheni unafiki.Polepole mwenyewe hawezi kazi bali porojo ,majungu ,kununua wapinzani....hadaa kuwasaidia wale "wabunge wa viti maalum"......