Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
... kuliko alioishaufanya yeye? ... au anaotarajia kuufanya yeye na akili zake finyu zilizoganda kwenye siasa za COLD WAR?Huu ni uonevu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... kuliko alioishaufanya yeye? ... au anaotarajia kuufanya yeye na akili zake finyu zilizoganda kwenye siasa za COLD WAR?Huu ni uonevu
Ukipinga chanjo tu wewe ni adui wa chama.Kama ni kweli, nimeumia sana kwamba kila anayesema kuhusu ubeberu na kuhusu ugonjwa wa corona anaitwa kwenye maadili.
Freedom of expression iko wapi? Au Mbunge hana freedom of expression?
Nakiona chama kipya cha upinzani chenye nguvu kubwa kikizaliwa.
Kamati aliyokuwa akiwahukumu wenzie, Wembe aliotumia kuwanyoa wenzie ndio unamyoa yeye leo.Kama ni kweli, nimeumia sana kwamba kila anayesema kuhusu ubeberu na kuhusu ugonjwa wa corona anaitwa kwenye maadili.
Freedom of expression iko wapi? Au Mbunge hana freedom of expression?
Nakiona chama kipya cha upinzani chenye nguvu kubwa kikizaliwa.
Chama gani tena cha upinzani kinachozidi kubwa la wanaKama ni kweli, nimeumia sana kwamba kila anayesema kuhusu ubeberu na kuhusu ugonjwa wa corona anaitwa kwenye maadili.
Freedom of expression iko wapi? Au Mbunge hana freedom of expression?
Nakiona chama kipya cha upinzani chenye nguvu kubwa kikizaliwa.
Kwa hiyo chanjo imeletwa na CCM? Hovyo kabisaUkipinga chanjo tu wewe ni adui wa chama.
Wakisahau Mwendazake ndo msingi wa Polepole na akina Gwajima, na ndo msimamo wa wengi ndiyo maana chanjo zimedoda.
Kwani Serikali ni ya DP?Kwa hiyo chanjo imeletwa na CCM? Hovyo kabisa
Aemde funguo za V80Kama ni kweli, nimeumia sana kwamba kila anayesema kuhusu ubeberu na kuhusu ugonjwa wa corona anaitwa kwenye maadili.
Freedom of expression iko wapi? Au Mbunge hana freedom of expression?
Nakiona chama kipya cha upinzani chenye nguvu kubwa kikizaliwa.
Ni kweli chanjo ni hiari, lakini wengine kutoa maelezo ya kupotosha kunawafanya hata wale waliyopanga kucxhanja kuacha kuchanja. Kuna kila aiana ya faida kuchanja. Kwa hiyo ni juu ya serkali kueneza faida za chanjo. Gwajima yeye akafundishe Biblia na kuipa uzima misukule, asiingilie serkali. Ndiyo maana kuna "separation of state/gevernment and religion. Lakini naona Gwajima anaingi;lia kazi ya serkali.Ushasema chanjo ni hiari unalazimisha nini watu kutoa mtazamo wao
Hao wakati ule wako kwenye helm si walituaminisha kuwa demokrasia ya kimagharibi hatufai afrika,Kama ni kweli, nimeumia sana kwamba kila anayesema kuhusu ubeberu na kuhusu ugonjwa wa corona anaitwa kwenye maadili.
Freedom of expression iko wapi? Au Mbunge hana freedom of expression?
Nakiona chama kipya cha upinzani chenye nguvu kubwa kikizaliwa.
V80 ndio kitu gani?!Aemde funguo za V80
Kuna watu wanatishwa na vivuli; wamepoteza kujiamini.Sasa Polepole kafanya kosa gani? maana sijaona kuwaambia watu wasichanje au kutoa tuhuma kama Gwajima
Hakuna mtu kutoka ccm mwenye uthubutu wa kulala jela kama akina Freeman Mbowe na wenzake wa CDM,Kama ni kweli, nimeumia sana kwamba kila anayesema kuhusu ubeberu na kuhusu ugonjwa wa corona anaitwa kwenye maadili.
Freedom of expression iko wapi? Au Mbunge hana freedom of expression?
Nakiona chama kipya cha upinzani chenye nguvu kubwa kikizaliwa.
Bashiru ni wa kufukuzwa kabisa. Ana kundi lake na anachochea upinzani na itikadi mbovu dhidi ya Mama.Kuna siku Bashiru nae ataitwa kuhojiwa na CCM.
Watch this space. Na usishangae siku hiyo akifukuzwa uana chama
Dunia duara.Bashiru ni wa kufukuzwa kabisa. Ana kundi lake na anachochea upinzani na itikadi mbovu dhidi ya Mama.