Humphrey Polepole ni nani?

Humphrey Polepole ni nani?

Wanajanvi kuna mtu mwenye kujua umri wa Polepole na cv yake aniwekee hapa?
Najaribu kuchanganua mambo flani
 
Wanajanvi kuna mtu mwenye kujua umri wa Polepole na cv yake aniwekee hapa?
Najaribu kuchanganua mambo flani

Hata ukipata cv yake haitokusaidia. Wee jua tu kuwa ccm wametenga zaidi ya bil150 na Lipumba keshalamba bil3.
Hapo ukue pole pole keshalamba mil 1 yake huyu hana dau kubwa nyau tu
 
Hata ukipata cv yake haitokusaidia. Wee jua tu kuwa ccm wametenga zaidi ya bil150 na Lipumba keshalamba bil3.
Hapo ukue pole pole keshalamba mil 1 yake huyu hana dau kubwa nyau tu

Mkuu Saint Ivuga ni kweli huyo PolePole hana dau na wala hana impact zaidi wafuasi Wa ukawa ndio waliokuwa wakimpa umaaruf sasa kajipoteza zaidi na nakuahidi hutamskia tena tukimpa airtime channel 10
 
Last edited by a moderator:
Ni mganga njaa tu hapa mjini..... Ni sho.ga mkubwa sana na maranyingi analiwa pale Wanyama Hotel Sinza
 
Jana ndio Polepole kaboa maana alionekana Channel 10 kumvamia Lowasa moja kwa moja na nung'ang'ania pamoja na Moderator wake kujitahidi kumkumbusha abakie neutral, hata wapiga simu walimkumbusha sana na kumwambia ukweli kwamba amechemka jana lakini wapi. Ni kijana mweredi sana lakini sijui jana alikula maharage ya wapi yuleeeeee? Hata hivyo nikisikia Polepole anaonekana kuongea kwenye channel yoyote huwa naahirisha shughuli zote nimtazame na kumsikiliza. Jana sijui bana, kweli siku zote sio Jumatatu. Sina kizuizi na Tuzo, ana haki, lakini ajitahidi kuepuka ukurunziza wa kuattack mtu pasipo sababu zenye tija. Mara alinganishe malaika wa giza na Lowasa, anageuka Nape Nnauye???? Amejiwekea doa hapo na ajitahidi kufuta kwa detergent ya ukweli
 
Pole pole anachekesha sana anataka kufikiria kwa niaba yetu hii ni absolute wrong !
 
Jana ndio Polepole kaboa maana alionekana Channel 10 kumvamia Lowasa moja kwa moja na nung'ang'ania pamoja na Moderator wake kujitahidi kumkumbusha abakie neutral, hata wapiga simu walimkumbusha sana na kumwambia ukweli kwamba amechemka jana lakini wapi. Ni kijana mweredi sana lakini sijui jana alikula maharage ya wapi yuleeeeee? Hata hivyo nikisikia Polepole anaonekana kuongea kwenye channel yoyote huwa naahirisha shughuli zote nimtazame na kumsikiliza. Jana sijui bana, kweli siku zote sio Jumatatu. Sina kizuizi na Tuzo, ana haki, lakini ajitahidi kuepuka ukurunziza wa kuattack mtu pasipo sababu zenye tija. Mara alinganishe malaika wa giza na Lowasa, anageuka Nape Nnauye???? Amejiwekea doa hapo na ajitahidi kufuta kwa detergent ya ukweli

Mkuu tatzo ww na wenzio hamtaki kusikia side B, ninyi mmeng, ang, ania A tu, tokeni nje ya box, polepole kaenda nje ya box la ukawa, na cdm kazungumza ukweli, nyinyi hamtaki,

Polen lakn ukweli mmeupata
 
Polepole ni inteligent na hazina nzuri akiwa kijana kwa taifa letu na alichozungumza jana ndio ukwel wenyewe msijifanye kujitoa ufahamu huyo mkimbizi wa siasa kamwe hatokuja kushinda msipoteze muda wenu na hicho chama chenu cha ukanda
 
Polepole ni mbunge wa bunge la katiba kwa tiketi ya waganga wa jadi nadhani ofisi yake ya kupiga ramli ipo sinza kwa remmy
 
Personally huwa napenda hoja zake.
Kwenye wenye uelewa wa mambo anayoyaongelea uyu ni hazina ya taifa
 
Polepole ni inteligent na hazina nzuri akiwa kijana kwa taifa letu na alichozungumza jana ndio ukwel wenyewe msijifanye kujitoa ufahamu huyo mkimbizi wa siasa kamwe hatokuja kushinda msipoteze muda wenu na hicho chama chenu cha ukanda


Hazina kwa vijana wa nchi gani, Tanzania? unamjua pole pole?? unamuaminsha hazina kwa vijana kwa kuwa anaongea unafiki au nini?

Kwangu Mungu binafsi maadui wakuu wa vijana wa Tanzania ni Pole Pole na Ruge wa clouds....lakini vijana wenyewe hamjijui....simuongelei Ruge hapa,,, ntamuoongelea Humphrey,

  • Tanzania mpaka sasa haina baraza huru la vijana....imekuwa agenda ya nenda rudi ili kuimarisha UVCCM kuwa ndio taasis ya kitaifa ya vijana...Pole pole ametumika n NGO yake kule kinondon na kiijtonyaama since JK akiwa foreign kwenda ktk mikutano mbali mbali ya kiamataifa kama mwakilishi wa baraza hewa la vijana la kitiafa nchini.....nilishawai hudhuriia mkutano wa vijana wa africa mashariki arusha chini ya EAC mwaka 2005... kati ya nchi zote za africa mashariki ni tanzania pekee aikuwa na youth council lakini ikielezwa mikutano yote ya National youth council iliudhuriwa na NGO ya pole pole.....!! kwa NGO yake kukumbatiwa na serikali kama kivuli ilififisha juhudi zote za kuwa na National youth council ktk Tanzania....mpka leo hii anaingizwa katika tume ya katiba ni ukaribu wa NGO yake na serikali kama ndio National youth council....
  • Pole pole binafs namjua ni mwanaaharakt toka akiwa shulen...ni mdogo wangu sana...alikuwa kabla ya kujipachika ukaribua wa jk na NGO yake alikwa mkereketwa wa kuwa na baraza la vijana , na vikao kadhaa za NGOs za vijana alishiriki lakini alishirki akijua yeye ndio nguru mbili huku anaondoka nchini kwa jina la baraza la vijana.
  • Pole pole ni kati ya vijana wanaofungia vijana wengine nafasi katka ngazi mbal mbali....ikiwa kijana unanunuliwa kutumikia mtu fulan, au kundi unawagawa wanakuona role model...pia hata wateuzi wanasema vijana hawako serious au watoto hawalali na pesa.....nikichukulia la katiba na uchaguzi....!! mf katiba....Sijawahi msikia pole pole akilia au kuongea hadi mishipa imtoke kama tatizo la vijana kukosa barza huru la kitaifa? ni hoja aliokuwa nayo toka mdogo lakini alipofika miaka 20 pale kijitonyama akanunuliwa akawasaliti vijana na mpka saasa ujana unamtoka nafsi yake itamsuta na atakufa nayo moyoni.... Uchaguzi, iweje leo pole pole alikuwa anawakirisha vijana katka tume ya katiba....na tume nzima ilikiri kazi yao imeddharauliwa na CCM,kupitia bunge la katiba na kunyofoa ...na matusi yote...leo hiii CCM ni wazzuri wa kuwapigia debe....ikiwa bado uchakuachuaji ule bado unaendelea? hivi ulikuwa ktk midahalo ile kiunafiki? uliongea na vijana kutoa ukweli wa tume kudharauliwa?? kumbe uliteuliwa katika tume kama mwanaccm...uvccm? leo hii umaarufu na heshima ya tume watu walikupa umeona ni wakti muhimu kutumia umaarufu huo kumshambulia Lowassa?? si shida ya wewe kuwa na haki kumshambulia lowassa kwa ufisadi ww ni mtanzania una haki lakin je...vijana waendelee kukuamini kuwa ww ni mwakilishi wao? vijana wanaotaka mabadiliko na wanaamini katika lowasa wanajiluliza kama wewe ni mzalendo...mbona hujwawakilisha vijana kuwatukuna watu mafisadi wengine ndani ya ccm...kwa nini umtaji Chenge?? tabaijuka? Muhongo? Ngereja? kwa ufisadi wa wazi na brother wako Jk amewapitisha katika katk kura za maoni za ubunge....hivi ni kweli vijana waendelee kukuamini wewe ni mwakilishi wao??
  • Vijana uliokuwa unawawikilsha ktk tume wanakueshimu sana...kwa nguvu zako binafs toka ukiwa shule....pole pole hujabebwa na mtu kufikia katka ngazi za midahalo na hadi kuwa na NGO....high expactation na uwezo kuingia kila mahali vilikugeuza kuwa unaweza kuwasliati vijana wenzako.......!!LOWASSA unaemkshifu kumbuka ana vijana wanaomamini sana tena wengi na hao vijana pia wanakuamini ww na kukusehsimu....LAKINI vijana wenzako wameamua kukata mfumo huu wa vijana kununulika....vijana wa tanzania njaaa imearibu mapigano yetu ya maendeleo...nchi haina strategy ya kubuild vijana kutake part ya leadership..ni vizaz vilivopo katk madaraka ndio wamewekewa mipango kurithi mamlaka....na pole pole ameona ndio fursa kuaingia ktk system hii.....!!
binafsi nasema niwe hai au maiti iko siku ccm itatoka madarakani tu......ccm ni kikwazo kikubwa cha maendeleo ya vijana....!!!
 
Hahaha polepole ulianza pole pole lkn kwa sasa..... Hal imebadilika wala hakuna alie wah kukudhania vibaya nikiangalia comnt za mwaka jana ni tofaut na mwaka huu.
Kwel nimeamin if u want to know a man place him in authority
 
Back
Top Bottom