Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini Maoni Yako Kuhusu Huyu Mchambuzi!
Kama ni maoni ya MCC mbona kuna uzi aliutoa humu jana? Fuatilia utaupata na utapenda uusome zaidi ya mara moja!swali lako ndilo swali swali langu!!.Mimi nimejua nitakutana na picha ya mtu ambaye Pole pole anatakiwa kutoa maoni juu yake,kumbe chenga tu.MCC imewavuruga watu vibayaaaa
Haipendezi kumjadili mtu hivyo kwani wewe hiyo sura ya mama uliichagua au huo umri niipango yako?how old is he? 'cause he looks like 70s
"ancietyface"
Wahedi weweHumphrey Polepole ni zaidi ya wabunge wote wa CHADEMA ... ukimtoa Tundu Lissu.
****Haipendezi kumjadili mtu hivyo kwani wewe hiyo sura ya mama uliichagua au huo umri niipango yako?
Ukistaajabu ya Musa....nami nashangaa watu kustajaabu ya aliyekuwa RC Moro Dkt. Rajab na kumwacha mtu kama Prof. Baregu ambaye alipewa jukumu la kitaifa(katiba mpya) lakini haijulikan alichofanya.mie mwenyewe nashangaa kina Mwesiga baregu kukaa kimya
Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.
Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.
Nawakaribisha wadau kwa maoni.
[emoji13] [emoji13] [emoji12]Njaa haina baunsa mjomba .
Wa chama cha majipu a.k.a ccmCHEO CHA MLOPOKAJI MKUU
Nimekuwa nikiona mijadala mingi hasa Chanel ten ikimhusisha huyu mtu hivi ana cheo gani serikalini, au kwenye chama cha mapinduzi ana cheo gani maana kuna uhusika anauvaa kana kwamba ana cheo kikubwa serikalini hasa cha msemaji wa serikali au chama.
Vilevile huyo kijana /mzee ana elimu gani? Je, elimu yake hakuna mtanzania aliyenayo? Maana naona kuna mijadala mingi sana anapotosha mambo kwa kujifanya mjuaji sana kana kwamba yeye ndio kasoma sana watanzania wengine ni vilaza wakati mambo siku hizi yapo wazi.