Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Uyo ni new entry kwenye tasnia ya uDC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We tafuta wa mkoa basi muende sawa kama vipiAnatafuta kick ya chama tawala
Ajabu yupo ndani ya nyumba chafu kisha anajiona msafi.Nibora awe mwanaharakati wa kutetea wanyonge akiwa "NJE YA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA".Hili litamfanya azidi kunawiri yeye mwenyewe kiutendaji na ndani ya mioyo ya watanzania atakua kama lulu,bali akiwa ndani ya mfumo fulani hawezi kua huru kama anavyo tuaminisha.Binafsi namkubali sana katika kujenga hoja na kuzisimamiaHumphrey Polepole ni zaidi ya wabunge wote wa CHADEMA ... ukimtoa Tundu Lissu.
Mchumia tumbo tu huyo, ni wale wale, mbele kwa mbele tu.Tafadhali mwenye CV ya huyu kijana mwanacc mwanaharakati machachari ambaye kwa sasa emepewa nafasi ya kuiongoza serikali ya Wilaya ya Musom mkoani Mara atuwekee timfahamu historia yake ili tuone anawafundisha nini wengine.
Alioneka akijipambanua sana kua yeye ni mtu safi na aliwahi kusema ukuu wa wilaya hauna tija kwa taifa na kupigania cheo hicho kiondolewe kwenye katiba lakini yeye leo cheo hicho kinampatia kula.
Natambua kua ana shahada ya maendeleo ya jamii alikua anahangaikia ya pili sijui ameshamsliza au laa.
Nataka kujua kama kichwa chake kina kitu kidogo maana leo ni kama ameshayaasi maneno yake.Mchumia tumbo tu huyo, ni wale wale, mbele kwa mbele tu.
Nothing new utaona kama ajafyata mkia, kwisha habari ya njaa tena
CV YA JINIAS WA UKAWA KAMANDA MBOWETafadhali mwenye CV ya huyu kijana mwanacc mwanaharakati machachari ambaye kwa sasa emepewa nafasi ya kuiongoza serikali ya Wilaya ya Musom mkoani Mara atuwekee timfahamu historia yake ili tuone anawafundisha nini wengine.
Alioneka akijipambanua sana kua yeye ni mtu safi na aliwahi kusema ukuu wa wilaya hauna tija kwa taifa na kupigania cheo hicho kiondolewe kwenye katiba lakini yeye leo cheo hicho kinampatia kula.
Natambua kua ana shahada ya maendeleo ya jamii alikua anahangaikia ya pili sijui ameshamsliza au laa.
Bro me mpaka nw kila kitu nishaona chawezekana..kwa dissapointment nliopata baada ya Chadema kumpokea waliyemuita papa wa Ufisadi Lowasa..na kuzunguka Tz nzima kututangazia hilo alaf wao wakampokea kama ndo mwokozi wao..sitaki ata jiumiza nafsi kwa lingine lolote maana picha picha za kisiasa hazitakaa ziishe..kila mmoja anaangalia ulaji wake tuYule dogo ni kichwa maji. Na hatuwezi kumuita msomi kwasababu kitu alicho kikataa na kukiona kibaya. wakampa kwa kumjaribisha kama anaakili Na akakichukua.
Tafadhali mwenye CV ya huyu kijana mwanacc mwanaharakati machachari ambaye kwa sasa emepewa nafasi ya kuiongoza serikali ya Wilaya ya Musom mkoani Mara atuwekee timfahamu historia yake ili tuone anawafundisha nini wengine.
Alioneka akijipambanua sana kua yeye ni mtu safi na aliwahi kusema ukuu wa wilaya hauna tija kwa taifa na kupigania cheo hicho kiondolewe kwenye katiba lakini yeye leo cheo hicho kinampatia kula.
Natambua kua ana shahada ya maendeleo ya jamii alikua anahangaikia ya pili sijui ameshamsliza au laa.