Humphrey Polepole ni nani?

Humphrey Polepole ni nani?

Huyu jamaa mnamfananisha na nani?! Huyu alidanganya kuwa moja ya sababu zilizomfanya ampinge Lowassa ni kwa sababu Lowassa hakuunga mkono mapendekezo ya katiba ya wananchi! Je magufuli aliyaunga mkono?!
 
Uchaguzi ukiwa huru n.a. haki CCM ijiandae kukabidhi Ikulu. ..mwisho wa nukuu
 
Kwanza kabla ya kumlinganisha MTU na mwalimu Nyerere ujue sifa zake zilikuwa zipi,
1. Kujisimamia
2. Kujenga hoja
3. Kumwambia MTU ukweli bila kujali nguvu yake ya pesa au cheo,

Nayaona hayo katika Humphrey Polepole, yaweza isiwe Leo au kesho ila Polepole ni aina ya watu wanaohitajika kuongoza nchi au kundi lolote la watu,
Tupitie michango yake mbali mbali kupitia video, please angalia videos kwanza ndo upate cha Ku comment
1. ITV


2. Mabadiliko aliyosema mwalimu


3.

4.kabla ya kura za maoni CCM ilikuwa tarehe 5/6/2015 ITV



5. UCHAMBUZI JUU YA LOWASSA


6. Juu ya wagombea au watia nia wote wa CCM 16-4-2015

Wacha huo ujinga,huwezi kumlinganisha mchumia tumbo na baba wa taifa
 
Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.

Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.

Nawakaribisha wadau kwa maoni.
Nasikia kapewa akae alipokuwa amekaa Nape
 
Za asubuhi wakuu. Nimejaribu kumcheki mheshimiwa nimeshindwa kumuweka kwenye kundi sahihi. Kifupi namkubali sana tu.

1484796605661.jpg
 
Hongera ndugu Polepole.

leo Prof Kabudi yupo Zanzibar na yeye anafafanua rasimu.
Duu,leo hii kapewa Wizara ambayo kimsingi ni mratibu mkuu wa Mchakato ule. Je atautumia utaalam wake kuhakikisha anawishi Cabinet kuanzisha mchakato pale ulipokwama?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
"Kwakweli CCM kwa msemeo wa wengi yetu inachechemea, yaani kila wanapoteua wasemaji wake ni form six failure! huyu jamaa wa sasa nae ni form 6 failure, mtangulizi wake nae alikua form 6 failure, sasa kusema kua chama chetu kinaendeshwa na intellectuals tunamaanisha nini? Hii hapana kwakweli"
Haya yalikua na maneno ya mwanaccm kindakindaki aliekua akisononeka akionekana mnyonge kabisa aliyeikosa amani ndani ya chama chake.


Ahaah, kumbe tulipokua tunajiuliza huyu alipokua akipondea nafasi za wakuu wa mikoa na wilaya lakini baada ya kuteuliwa akawa wa kwanza kuripoti kazini. Hivi tunajenga vijana aina ya mwalimu nyerere wansozungumzia misingi ya ujamaa kuwatolea hawa kama mifano kweli?

CCM mna bahati mbaya sana! Utafikiri hakuna intellectuals kwenye chama kubwa kama lenu!
 
Asee vitu vingine sio vya kushadidia kihivyo, kuwa form 6 failure or passed c issue, mtoa mada wazo lako la Leo halina tofaiti na wale wanaokuwa wanashadidia matokeo ya Mbowe. Muhimu kwenye uongoz kunakuwepo na mixed levels za elimu.
 
Back
Top Bottom