Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Benjamin Mkapa s. School
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Kwakweli CCM kwa msemeo wa wengi yetu inachechemea, yaani kila wanapoteua wasemaji wake ni form six failure! huyu jamaa wa sasa nae ni form 6 failure, mtangulizi wake nae alikua form 6 failure, sasa kusema kua chama chetu kinaendeshwa na intellectuals tunamaanisha nini? Hii hapana kwakweli"
Haya yalikua na maneno ya mwanaccm kindakindaki aliekua akisononeka akionekana mnyonge kabisa aliyeikosa amani ndani ya chama chake.
Ahaah, kumbe tulipokua tunajiuliza huyu alipokua akipondea nafasi za wakuu wa mikoa na wilaya lakini baada ya kuteuliwa akawa wa kwanza kuripoti kazini. Hivi tunajenga vijana aina ya mwalimu nyerere wansozungumzia misingi ya ujamaa kuwatolea hawa kama mifano kweli?
CCM mna bahati mbaya sana! Utafikiri hakuna intellectuals kwenye chama kubwa kama lenu!
Mbowe si mwenyekiti wa chama kilichopo madarakaniUnatuletea mambo ya gwajima.weka cheti chake
Halafu hata kama ni kweli failure,yule ni msemaji tu kuliko wewe mnywekiti wako hakufanya mtihani wa form four na form 6 ni zero,anaburuza maprofessor
Kweli Mkuu. Majambazi yaliyotusaliti kwenye kupigania katiba ya wananchi ndio magombea yetu ya URAISPolepole ni hazina inayopaswa kulindwa , anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii. Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
Azaboy failure hyo Polepole wenu.Nogesha na picha ya matokeo yake aisee
Ina maana bado humjui tu?ndio nani huyu
Unasema???Ni kweli tunamsifia kijana but mi namshauri asiingie kwenye siasa asije akawa kama zinto zubell kambwe kununuliwa na kutumiwa na ccm kama kondumu then kutupwa katika dampo la pugu.
Yuko CCMakiingia CCM jamaa atashine sana,ila akienda ukawa atapotea soon
Naona busara ya yule aliyeshauri watu kuweka akiba ya maneno. Sina uhakika kama mtoa mada atakuwa na mtazamo huu kuhusu Ndugu Polepole kwa sasa hivi.Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.
Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.
Nawakaribisha wadau kwa maoni.