Rugaijamu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2010
- 2,942
- 1,298
Barwani sasa hivi ni Doctor of Philosophy (Phd) , aliipata huko marekani, kwa sasa sijui yuko wapi hebu jaribu kumgoogle au kumfacebook
asante kwa taarifa hiki kaka...ila kile kizazi sijui kama kitatokea tena aisee