Humphrey Polepole ni nani?

Humphrey Polepole ni nani?

Angekuwa Mchaga jamaa angetumia Ripoti hiyo kama kitegauchumi kwake kwa kuwatishia watendaji wampe hongo. Lakini CAG ni mtu asie na tamaa na mshika dini safi
Mjinga wa mwsho ww!!! Huo ndo ujinga wa baadhi ya wasio enda shule kama ww!!! Kwa iyo wachaga wanapenda sana rushwa?
 
Angekuwa Mchaga jamaa angetumia Ripoti hiyo kama kitegauchumi kwake kwa kuwatishia watendaji wampe hongo. Lakini CAG ni mtu asie na tamaa na mshika dini safi
Du kuna mijitu imesoma! kwa CV hiyo mtu hawezi kuandika ripoti ya kibashite.
 
Angekuwa Mchaga jamaa angetumia Ripoti hiyo kama kitegauchumi kwake kwa kuwatishia watendaji wampe hongo. Lakini CAG ni mtu asie na tamaa na mshika dini safi
wewe unaongelea nn sasa? mbona unaongea kama zuzu uliyezugwa na ujinga mwingi
 
Pole pole alifanyiwa operation ya ubongo...wakati wa hiyo operation walifuta kumbukumbu zake zote za nyuma na wakampandikiza kimemory cha madaraka na pesa hivyo yeye kila anachokifanya anapigania madaraka yake na pesa tu......wengine tutakasilika ila yeye malengo yake ya kuapat pesa na madaraka yanazidi kutimia
 
Back
Top Bottom