Humphrey Polepole: Rais Magufuli anatekeleza Katiba Mpya

Afadhali mchawi Nape kuliko mnafiki polepole.
 
Spot on. Magufuli akiongoza katika hilo. Wanawaonea watumishi wa kada za kati na chini tu; huku Magufuli na wateule wake wakila kuku kwa mrija.
Wanafuta posho za Watumishi huku wao wanakula vizuri. Huoni Presidaa anazidi kutoka Kitambi. Uonevu kabisa huu. Anasema waishi kwa Mishahara yao, je wao wanaishi kwa mishahara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…