Humphrey Polepole, una sifa za kuwa Rais wa Tanzania

Humphrey Polepole, una sifa za kuwa Rais wa Tanzania

Kuna watu hawajahi kumuelewa Nyerere na hawamuelewi Polepole wala msaada wako Pascal Mayalla hawauelewi

Akili zao hazikubaliani na ukweli ila zinakubaliana na kile wanachokitaka wao

Humphrey Polepole ni hazina tumpe maua yake angali hai
amina!.
P
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?

1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.

Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.

Viva Tanzania
Hivi unawafahamu Watanzania walivyo na mimi nikiwemo? We are very stpd to the highest level. Yaone tu yanavimbisha vichwa ukazani yana akili. East Africa nchi yenye watu wenye akili timamu ni Kenya pekee
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?

1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.

Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.

Viva Tanzania
Huyu huyu ambaye awamu ya 5 alikuwa anasimamia na kuratibu ufisadi mkubwa wa kutumia fedha za walipa Kodi maskini kununua wanachama, madiwani na wabunge wa upinzani?!
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?

1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.

Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.

Viva Tanzania
Msidanganyane humu. Huyo mgonjwa wa UKIMWI ambaye ni Balozi wetu Cuba hawezi kuwa Rais wa Tanzania.

Ukimuona kobe kwenye mti ujuwe kuna mwenyewe. Huyu Polepole alipandishwa na Magufuli kutekeleza matakwa ya kisiasa ya Magufuli. Polepole ni mtu asiye na msimamo wa anachokiamini
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?

1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.

Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.

Viva Tanzania
Naunga mkono hoja
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?

1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.

Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.

Viva Tanzania
Sasa si atakuwa kama Jiwe aharibu Kila kitu?

Kama mnataka kuishi kama digidigi chagueni huyo mjamaa

Kama mnataka kuwa ma jobless chagueni huyo mjamaa

Kama mnataka kuendelea kufarijiwa Kwa propaganda za mabeberu huku wawekezaji wanakimbia chagueni huyo mjamaa

Kama mnataka kuishi Kwa kupelekeshwa kama mapunda chagueni huyo mjamaa

Kama mnataka kupotea pesa zenu.na kubambikiziwa Kodi,kesi nk chagueni huyo mjamaa

Kama mnataka kurudi kulee ambako mazao yote yataporomoka bei,Watalii qatasita kuja,watu wote kuwa machinga,kukimbilia Ajira ya serikali Kwa sababu kujiajiri hakulipi chagueni huyo mjamaa..

Niliwanyo Kwa Mwendazake na Sasa nawaonya tena ,Hawa watu wa dini hii nyingine Huwa ni wavurugaji wa Maisha ya watu.
 
Sasa si atakuwa kama Jiwe aharibu Kila kitu?

Kama mnataka kuishi kama digidigi chagueni huyo mjamaa

Kama mnataka kuwa ma jobless chagueni huyo mjamaa

Kama mnataka kuendelea kufarijiwa Kwa propaganda za mabeberu huku wawekezaji wanakimbia chagueni huyo mjamaa

Kama mnataka kuishi Kwa kupelekeshwa kama mapunda chagueni huyo mjamaa

Kama mnataka kupotea pesa zenu.na kubambikiziwa Kodi,kesi nk chagueni huyo mjamaa

Kama mnataka kurudi kulee ambako mazao yote yataporomoka bei,Watalii qatasita kuja,watu wote kuwa machinga,kukimbilia Ajira ya serikali Kwa sababu kujiajiri hakulipi chagueni huyo mjamaa..

Niliwanyo Kwa Mwendazake na Sasa nawaonya tena ,Hawa watu wa dini hii nyingine Huwa ni wavurugaji wa Maisha ya watu.
Dini gani ?
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?

1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.

Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.

Viva Tanzania
Awe rais wa makallio yakox
 
Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.
Wamemtoa Malawi yuko Amerika Kusini, naona blabla zake zitaishia Atlantic ocean
 
Mafisadi hawamkubali maana ndo itakuwa mwisho wao!!
Polepole ni fisadi mkubwa ni kwa vile magufuli amekufa. Alipopata mwanya wa kuwa fisadi alikuwa fisadi hasa. sasa kimekosa kinajitia kijamaa, stupid! Kilikuwa kijitu cha hovyo kabisa, mnaokishabikia nadhani mna undugu nacho takataka
 
Kuna watu hawajahi kumuelewa Nyerere na hawamuelewi Polepole wala msaada wako Pascal Mayalla hawauelewi

Akili zao hazikubaliani na ukweli ila zinakubaliana na kile wanachokitaka wao

Humphrey Polepole ni hazina tumpe maua yake angali hai
Thanks mama D . Ukweli ni kwamba kamwe hawajamwelewa, hawawezi kumwelewa, na hawatakuja kumwelewa hata wangepewa miaka 1000 ya kuishi duniani.

Tuna jamii kubwa ya watu ambao silika yao ni kama ngurukia (parasite); uhai wao hutemgea 100% juhudi za wengine moja kwa moja. Hawawezi kutahafifu (survive) bila wao.

Sasa, swali la msingi ni kwamba iwapo uhai wao umefungamana kiasi hicho na ule wa wengine, wataweza kweli kuwa na fikra tanuku na huru? Jibu la wazi ni hapana. Lazima tu hao wawe bendera-fuata-upepo!
 
Polepole ni fisadi mkubwa ni kwa vile magufuli amekufa. Alipopata mwanya wa kuwa fisadi alikuwa fisadi hasa. sasa kimekosa kinajitia kijamaa, stupid! Kilikuwa kijitu cha hovyo kabisa, mnaokishabikia nadhani mna undugu nacho takataka
Waswahili husema, ^Maneno matupu hayavunji mfupa.^ Pia ^Mkono mtupu haulambwi.^ Where is the evidence Mr Retired General Jealous 🙂 🙂 🙂
 
Huyu naweza nikamkubali maana naamini ataendeleza falsafa za magufuli.
Mheshimiwa Polepole popote ulipo please go for it.
Kiingereza kwa msisitizo.
 
Back
Top Bottom